Fiesta Kufanyika Hadi Asubuhi....?

Fiesta Kufanyika Hadi Asubuhi....?

Yaani mie nawaza liwe linaisha hata saa nne, kila kona ni hilo tu sielewi kunakuwaga na nini cha ziada, kuna mmoja nilisoma nae yuko Arusha, likienda moshi yumo likija Tanga yumo yeye utamsikia tu Sakayo nakuja fiesta huko daaah!! Huwa simuelewi kabisa, mpaka huwa nahisi niko kinyume na hii dunia. Anyway yote maisha
 
Yaani mie nawaza liwe linaisha hata saa nne, kila kona ni hilo tu sielewi kunakuwaga na nini cha ziada, kuna mmoja nilisoma nae yuko Arusha, likienda moshi yumo likija Tanga yumo yeye utamsikia tu Sakayo nakuja fiesta huko daaah!! Huwa simuelewi kabisa, mpaka huwa nahisi niko kinyume na hii dunia. Anyway yote maisha
Hahahaha jamaa hyo ana safiri n'a fiesta

Ova
 
Yaani mie nawaza liwe linaisha hata saa nne, kila kona ni hilo tu sielewi kunakuwaga na nini cha ziada, kuna mmoja nilisoma nae yuko Arusha, likienda moshi yumo likija Tanga yumo yeye utamsikia tu Sakayo nakuja fiesta huko daaah!! Huwa simuelewi kabisa, mpaka huwa nahisi niko kinyume na hii dunia. Anyway yote maisha
Hamna chochote cha maana kelele tu...wajanja wanakula hela za wasiojitambua
 
Yaani mie nawaza liwe linaisha hata saa nne, kila kona ni hilo tu sielewi kunakuwaga na nini cha ziada, kuna mmoja nilisoma nae yuko Arusha, likienda moshi yumo likija Tanga yumo yeye utamsikia tu Sakayo nakuja fiesta huko daaah!! Huwa simuelewi kabisa, mpaka huwa nahisi niko kinyume na hii dunia. Anyway yote maisha
aisee, katika hili tunafanana..,hata mimi sijawahi kuona jipya,...
 
Ila inashangaza sana kuona tamasha la muziki linakuwa jambo kuubwa! Ila ndio bongo hii kama mtu alievuruga mnada annanza kualikwa kufungua vyuo unategemea nini!!
Mkuu mbona mziki ni kitu kikubwa pia me naona wanamuziki wanatendewa haki sasa
 
Ila inashangaza sana kuona tamasha la muziki linakuwa jambo kuubwa! Ila ndio bongo hii kama mtu alievuruga mnada annanza kualikwa kufungua vyuo unategemea nini!!
Nchi ya matukio
 
Nimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi.
Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi mpaka asubuhi na Fiesta ni kazi hivyo itapigwa mpaka asubuhi!
Je ndio kusema ruhusa imetoka juu?
Ndiyo mkuu ruhusa ilitoka juu, Mwakyembe ndiyo aliifikisha
 
Kama mkuu ametoa ruhusa maana yake nini?? Kunaruhusa ya kuvunja sheria inayotoka kwa mkuu ambaye sijui ndo mtunzi ama mmiliki ama aliye juu ya sheria iyo??
Nakumbuka maneno niliyasikia kutoka mahala "......the greatness of any community depends on its fidelity to the constitution and above all fear of GOD.." naona kama taifa langu halimo
 
Back
Top Bottom