Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Yah mambo yao hayoKweli !mambo ya vijana hayo
Yah mambo yao hayoKweli !mambo ya vijana hayo
Hahahaha jamaa hyo ana safiri n'a fiestaYaani mie nawaza liwe linaisha hata saa nne, kila kona ni hilo tu sielewi kunakuwaga na nini cha ziada, kuna mmoja nilisoma nae yuko Arusha, likienda moshi yumo likija Tanga yumo yeye utamsikia tu Sakayo nakuja fiesta huko daaah!! Huwa simuelewi kabisa, mpaka huwa nahisi niko kinyume na hii dunia. Anyway yote maisha
Hamna chochote cha maana kelele tu...wajanja wanakula hela za wasiojitambuaYaani mie nawaza liwe linaisha hata saa nne, kila kona ni hilo tu sielewi kunakuwaga na nini cha ziada, kuna mmoja nilisoma nae yuko Arusha, likienda moshi yumo likija Tanga yumo yeye utamsikia tu Sakayo nakuja fiesta huko daaah!! Huwa simuelewi kabisa, mpaka huwa nahisi niko kinyume na hii dunia. Anyway yote maisha
Vurugu TenaMitaa ya Leaders ishaanza kuwa vurugu...
Huwa namshangaa kwa kweli, halafu anaona kawaida kabisaHahahaha jamaa hyo ana safiri n'a fiesta
Ova
Afadhali hata uniambie hivyo, sijawahi waza hizo makituHamna chochote cha maana kelele tu...wajanja wanakula hela za wasiojitambua
Huyo atakuwa na addiction ya fiestaHuwa namshangaa kwa kweli, halafu anaona kawaida kabisa
aisee, katika hili tunafanana..,hata mimi sijawahi kuona jipya,...Yaani mie nawaza liwe linaisha hata saa nne, kila kona ni hilo tu sielewi kunakuwaga na nini cha ziada, kuna mmoja nilisoma nae yuko Arusha, likienda moshi yumo likija Tanga yumo yeye utamsikia tu Sakayo nakuja fiesta huko daaah!! Huwa simuelewi kabisa, mpaka huwa nahisi niko kinyume na hii dunia. Anyway yote maisha
itakua boss kamchimba biti mwanae asimgombanishe na waliomchagua...kama namuona mtoto roho inavyomuuma 😡😡😡😡😡Labda mtoto wa boss karuhusu
Mkuu mbona mziki ni kitu kikubwa pia me naona wanamuziki wanatendewa haki sasaIla inashangaza sana kuona tamasha la muziki linakuwa jambo kuubwa! Ila ndio bongo hii kama mtu alievuruga mnada annanza kualikwa kufungua vyuo unategemea nini!!
Kwa hali ilivyo itakuwa mkuu mwenyewe ndo karuhusu sio dogoitakua boss kamchimba biti mwanae asimgombanishe na waliomchagua...kama namuona mtoto roho inavyomuuma 😡😡😡😡😡
Nchi ya matukioIla inashangaza sana kuona tamasha la muziki linakuwa jambo kuubwa! Ila ndio bongo hii kama mtu alievuruga mnada annanza kualikwa kufungua vyuo unategemea nini!!
....Hayo ni mambo ya vijana,wewe uko kundi hilo?Makongamano km ayo ndio huwa sinaga nayo nyege bora pesa angu ninywe mznga ndani kwangu.
Ndiyo mkuu ruhusa ilitoka juu, Mwakyembe ndiyo aliifikishaNimesikia leo kwenye kipindi cha Jahazi na Amplifier kwamba Fiesta itafanyika hadi asubuhi.
Kibonde alisema 'asalam aleykum mh Magu kwa kauli mbiu hapa kazi tu' kwamba bandarini watu wanapiga kazi mpaka asubuhi na Fiesta ni kazi hivyo itapigwa mpaka asubuhi!
Je ndio kusema ruhusa imetoka juu?
Kutokana na mood nitakayo amka nayo naweza kuwa kijana babu au mtoto kinazaria.....Hayo ni mambo ya vijana,wewe uko kundi hilo?