Tatizo wasanii wa kibongo stori nyingi stejini..... Wameanza vizuri na bado wana mawe ya kutosha lakini wanaanza mambo ya arsenal na Manchester jukwaani
Tatizo wasanii wa kibongo stori nyingi stejini..... Wameanza vizuri na bado wana mawe ya kutosha lakini wanaanza mambo ya arsenal na Manchester jukwaani
Tatizo wasanii wa kibongo stori nyingi stejini..... Wameanza vizuri na bado wana mawe ya kutosha lakini wanaanza mambo ya arsenal na Manchester jukwaani
Hata Diamond nilishawahi kumuona na live band ana strugle sana tu. Serious mziki wa Tz inabidi tujitafakari sana nini tunachoweza kama CD basi tubaki huko maana napata hasira tu nahisi makelele tu.