Fiesta DSM 2017 Special Thread;

Mimi nipo hapa kinondoni kwangu nashindwa kutuliza akiri na kupumzika baada ya mizunguko ya mchana kutwa kwani nasikia makerere ya misauti ya miziki kutoka huko kumbe, ni hilo fiesta... Dah bora mkuu angezuia tu watu tupate muda wa kupumzika kwa hiyo leo sitapata usingizi kabsa.... Ila sio mbaya mwaka ujao haitafanyika tena hapo.....
 
Acha kudeka mkuu wewe sema huna usingizi tu,....usingizi ukiwepo hata kwenye boda boda utalala.
 
Ahahahh mambo za fiesta na me tofauti fujo huko nipo hapa naangalia clouds plus rosaree kapendeza nimependa kivazi chake
Niko na aleji na masauti ya miziki huwa napenda utulivu... Yaani hata kama Nataka kusinzia mtoto akikohoa tu bas usingiz unakata kabsa hadi nianze kuutafuta tena..... Sasa na kwa hayo mamiziki ndio sitalala kabsa...
 
Niko na aleji na masauti ya miziki huwa napenda utulivu... Yaani hata kama Nataka kuzinzia mtoto akikohoa tu bas usingiz unakata kabsa hadi nianze kuutafuta tena..... Sasa na kwa hayo mamiziki ndio sitalala kabsa...
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…