Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,210
- 42,072
sio amejitoa bali hizo ni taratibu za mikatabaDiamond si ana mkataba na Voda?,wakati Fiesta inadhaminiwa na Tigo,amejitoa kwa sababu kutakuwa na mgongano wa maslahi..
sio amejitoa bali hizo ni taratibu za mikatabaDiamond si ana mkataba na Voda?,wakati Fiesta inadhaminiwa na Tigo,amejitoa kwa sababu kutakuwa na mgongano wa maslahi..
lolNaona Kibamia anaongoza wasanii wenzie wa kulipwa buku jero
huyo juma nature ukimpa gongo lita tano anafanya shoo usiku kucha
huyo chege ikimpa gunia la bangi anaweza kufanya shoo mpaka asubuhi
barnaba ukimsifia ana sauti nzuri anafanya shoo
baraka mkataba kashika naj
.......
Hii ina logicDiamond si ana mkataba na Voda?,wakati Fiesta inadhaminiwa na Tigo,amejitoa kwa sababu kutakuwa na mgongano wa maslahi..
Mbona Zanzibar anaenda kufanya onyesho wikend hii linalodhaminiwa na Zantel hakuna mgongano apo au Znz ni nchi nyingine.Diamond si ana mkataba na Voda?,wakati Fiesta inadhaminiwa na Tigo,amejitoa kwa sababu kutakuwa na mgongano wa maslahi..
Zanzibar mbona anaenda kushiriki tamasha la Zantel sikiliza Efm jingle kila siku linapigwaDimond balozi wa voda awezi shiriki
Diamond si ana mkataba na Voda?,wakati Fiesta inadhaminiwa na Tigo,amejitoa kwa sababu kutakuwa na mgongano wa maslahi..
Watu watapigwa Sana roba,na visichana vitapigwa Sana mtungo...Mbona umewasahau wasanii " Panya Road " ambao wao watatumbuiza nje ya Ukumbi hasa show itakapoisha.
hajajitoa ila mkataba wake na Vodacom haumruhusu kupromote biashara ya competitor...Diamond si ana mkataba na Voda?,wakati Fiesta inadhaminiwa na Tigo,amejitoa kwa sababu kutakuwa na mgongano wa maslahi..
Mbona umewasahau wasanii " Panya Road " ambao wao watatumbuiza nje ya Ukumbi hasa show itakapoisha.
Unaweza kufanya mpango tukapata V.I.P atleast nikaesio amejitoa bali hizo ni taratibu za mikataba
Ww siyo Mwana Fa kweli?
Mimi ni DeoWw siyo Mwana Fa kweli?