Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,322
Mkuu usipanic kila mtu anavitu anavyopenda kwenye mziki,kuna mwingine anapenda beat tu hata kama mashairi kaputi kuna mwingine flow tu,mwingine mashairi kuna mwingine ili apende wimbo anaangalia vitu vyote kikimiss kimoja anakuwa haikubali.fid q big up, big up, big uuuuuuup... ilo ngoma nimelielewa!! wewe kama hujaelewa there two things involved in your mind. one: muda wako wa kuelewa bado hujafika kwa io usijali akili yako ikikomaa utaelewa, and two: una knowledge ndogo ya kuchanganua mambo. So if you dont understand its better to shut the f*ck up and be quite until mda wako mkifika. Just for peace # one love #
Sijausikiliza huu wimbo nilitaka kuweka sawa tu sio kila asiyeukubali huu wimbo basi ana upeo mdogo mwingine labda hajavutiwa na flow etc