FID Q ni sumu

FID Q ni sumu

Hii nyimbo kali hatari naitafuta YouTube ili niipakue haipo, kulikoni waungwana?!
 
Kila mtu atamuelewa kulingana na upeo wake..na hio ni moja ya sifa ya hip hop.

Ukiona hujaelewa kabisa ujue haikuhusu
Usiforce tufanane...Sio kila ngoma unayoikubali wewe na sie tuikubali,kila mtu ana choice yake...Kuna watu wanamuelewa man fongo na wengine hawamuelewi so usiforce watu wawe sawa kimtizamo....Hiyo Sumu Jamaa yako anapiga Makelele tu.
 
link hipo juu hapo au ingia

Me naungana nawe nyimbo ni mbaya haina radha wala haieleweki wanahipop huwa wanajiangusha nyimbo kama hii ya wauni wachache beat aliyotumia ni ya kizamani sana bora ile roho ni beat nzur na kisasa hii nyimbo haikufaa kufanyia video
 
hiyo nyimbo ningeimalizia ningekufa ni sumu kweli
 
fid q big up, big up, big uuuuuuup... ilo ngoma nimelielewa!! wewe kama hujaelewa there two things involved in your mind. one: muda wako wa kuelewa bado hujafika kwa io usijali akili yako ikikomaa utaelewa, and two: una knowledge ndogo ya kuchanganua mambo. So if you dont understand its better to shut the f*ck up and be quite until mda wako mkifika. Just for peace # one love #
 
Back
Top Bottom