Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,119
Utanunua tyre na battery tu unondoka na mzigo wa tani 15 kichwa tu, hiyo gari chassis yake ni ndefu tofauti kabisa na zingine, ina uwezo wa tani 40 tambalale, kawaida yake ton 30 kupanda milima ikiwa na tela. spare zimejaa bei ya kutupa ukilinganisha na scania, Dar to mwanza tunapishana masaa 5 tu na scania 113, Bei POA SANA NIPE 13 mln tu wakati gari yenye uwezo huo huo scania 94 inauzwa 53 mln ikiwa mzee. maongezi yapo.weka bei please mambo mengine ni ziada
Kumbe umeonea huku....Mkuu hii makitu bado zipo?