Safari hii wamepatikana...wamezoea kuwagonga virungu wanafunzi UD...kuwamwagia maji CDM...kuwapiga mabomu wazee wa EAC
Sasa safari hii wamepigwa bao...watawafuata madr majumbani??
Kama huamini nenda Gombe halafu pitia Bunda......Sokwe wanaongea siku hizi, mpaka mtamkufuru Mungu mwaka huu, mambo hayaendi
tunalijua hilo Mama porojo ndio maana tunasema hii style FFU wamepigwa bao hawana kisingizioMadaktari hawajafanya maandamano ya kuvuruga amani au kuleta ghasia wanakutana kwenye kumbi kwa amani na kuondoka kwa amani FFU wa nini? Mazingira ya migomo hayako sawa lakini kama madaktari wangeleta vurugu na ghasia mitaani FFU tungewaona wakiwatawanya.
Mbona ulinganifu wako hauna mashiko, FFU c kazi yao kuzma migomo ya namna hyo, acheni kushabikia mambo yasio na logic hebu washauri hao Madaktari mgomo wao uambatane na maandamano yasio na kibali watoke tu pale geti la muh2 watnge mtaaan kwa maandamano afu waone hao FFU kama watawachekea kama hawajarud kazini kutibiana wenyewe kwa wenyewe au wafanye vurugu pale muh2 ndo mtawafeel sasa hao FFU hebu wacheni ushabiki wa hivyo sio level yako "Grt Thinker" waachie watumiao masaburi kufikiri ndo level yao!!
Safari hii wamepatikana...wamezoea kuwagonga virungu wanafunzi UD...kuwamwagia maji CDM...kuwapiga mabomu wazee wa EAC
Sasa safari hii wamepigwa bao...watawafuata madr majumbani??
Mkuu ni suala la kufikiri kidogo tu na kutambua hoja yangu...Mbona ulinganifu wako hauna mashiko, FFU c kazi yao kuzma migomo ya namna hyo, acheni kushabikia mambo yasio na logic hebu washauri hao Madaktari mgomo wao uambatane na maandamano yasio na kibali watoke tu pale geti la muh2 watnge mtaaan kwa maandamano afu waone hao FFU kama watawachekea kama hawajarud kazini kutibiana wenyewe kwa wenyewe au wafanye vurugu pale muh2 ndo mtawafeel sasa hao FFU hebu wacheni ushabiki wa hivyo sio level yako "Grt Thinker" waachie watumiao masaburi kufikiri ndo level yao!!
tunalijua hilo Mama porojo ndio maana tunasema hii style FFU wamepigwa bao hawana kisingizio
Mkono wa Serikali ni mrefu.
Hakuna fujo bila sababu lakini ukisimikiwa mkuki mlangoni lazima uhojiWanawasubiri waleta fujo Arumeru, na wameisha sema kwenye kikao chao kinacho endelea moshi kuwa atakae leta fujo Arumeru atajuta kuzaliwa na wazazi wake, watamfanya kitu mbaya. Haya salamu hizo kwenu cdm