me ndo maana nakuwa makini sana nikiwakaribia hawa mapolisisisiem,wanashida nyingi sana mioyoni mwao,so anaweza kumaliza matatizo yake na wew bila kosa lolote,hasa unapoingia kwa atm mashine anaona unadroo cash za kutosha while yeye waatoto hawjui watakula nini.RIP a afande