Huyu si alikuwa wa kutimua kazi huyu? Yaani FFU goigoi kama huyu atatuliza ghasia? Hawa ndio wanaolipua waandishi kwa kumalizia hasira za ugoigoi wao. Hawa tunawaheshimu tu unafikri wananchi tukiamua kutunisha misuli wataona ndani??! Hawana lolote wachovu tu.
Kuna mwingine alitaka kunivunja mbavu kwenye mechi pale Shy. Eti anaenda kudhibiti mchezaji alipiga refa kurusha teke ili apige mtam yeye ndo akanguka na siyo yule mchezaji ilikuwa ni aibu ya mwaka. Hawana ukakamavu wowote hawa. Tumb..ff zao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.