FFU anapo kuwa mzembe kazini

FFU anapo kuwa mzembe kazini

Akili haifanyi kazi kwa ndata huyu
 
Wankunywa viroba jogoo, kimoja sh.350.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyu si alikuwa wa kutimua kazi huyu? Yaani FFU goigoi kama huyu atatuliza ghasia? Hawa ndio wanaolipua waandishi kwa kumalizia hasira za ugoigoi wao. Hawa tunawaheshimu tu unafikri wananchi tukiamua kutunisha misuli wataona ndani??! Hawana lolote wachovu tu.

Kuna mwingine alitaka kunivunja mbavu kwenye mechi pale Shy. Eti anaenda kudhibiti mchezaji alipiga refa kurusha teke ili apige mtam yeye ndo akanguka na siyo yule mchezaji ilikuwa ni aibu ya mwaka. Hawana ukakamavu wowote hawa. Tumb..ff zao!
 
377202_364829316926254_330306101_n.jpg
 
Back
Top Bottom