Few minutes into the interview room

Mkuu inawezekana yaliyokukuta has nothing to do with you. Mwana mama mmoja mweusi huko Marekani ana degree mbili za IT aliwahi patwa na mkasa, alikwenda kwenye interview director wa IT alipoingia kwenye chumba cha interview alitupa jicho akageuka akaishia.

Assumption zilikuwa nyingi moja ni ubaguzi wa rangi, mama ana majina ya kizungu chances kibosile hakufahamu mpaka alipomuona kuwa ni mtu mweusi. Mara nyingi hiring manager or director anakuja kwenye interview ya mwisho baada ya kupigwa zile za HR na technical.
 
Mini nadhani kuchukua muda mrefu au mfupi ndani ya chumba cha usaili hiyo sio hoja. Kinachotakiwa ni uwezo binafsi wa mtu kujieleza na kujibu kile ulichoulizwa. Tatizo letu sisi wabongo utataka kuonge vitu vingi sana ili uonekane unajua sana ambapo katika maelezo yako hayo wewe mwenyewe unajitengenezea maswali mengi ambayo ukiulizwa uanaanza kujiuma uma tu. Kingine ni kutokujiandaa kwa usaili. Ni kosa kubwa sana kwenda kwenye usaili bila ya kujiandaa vya kutosha. Utakuta mtu hata jina la mahali anapoomba kazi hawezi kulitamka sawa sawa wala hajui lolote kuhusu mahala pale.

Hivyo basi kinachotakiwa kwanz akabisa ni kujiandaa vya kutosha kwa maana ya kuifahamu kazi unayoomba pamoja na shirika au kampuni lile unaloomba kazi. Cha pili ni kujiamini na kujibu maswali yale uliyoulizwa. Tatu, kuwa na mwenekano mzuri kwa maana ya mpangilio wa mavazi yako. Nne, ni weledi katika lugha na kama kitu hujui au hujamuelewa anayekuuliza usisite kumuuliza ili akufafanulie kile anachokuuliza. Usijibu maswali kwa sababu tu ya woga au hofu kwamba utaonekana hujui, kama hujui sema hilo lisijui. Jmabo la mwisho ni mshahara usipende sana kutaja kiwango kama huna hakika na nagzi za mshahara za mahali hapo. Unaweza ukataja mshahara kumbe mshahara huo ni wa ngazi ya mkurugenzi wakati wewe unaomba nafasi ya afisa wa kawaida tu. Zaidi ya yote tafuta habari za kutosha za mahali unapoomba kazi ukianzia na kazi unayoomba, mazingira utakayofanyia kazi, mishahara na marupurupu yao n.k. Nina imani ukizingatia hayo yote utafanikiwa katika usaili wako.
 
No worries!
There is no connection in getting a job with time taken to be interviwed, Yes that is. The thing here is just to understand that you got the time to provide what you have. As long as I know, for a proffessional candidate, 10 to 20 minutes is obviours enough time to komvisi people that your good. Hope you did it au hujiamini nini mtu wangu? Okay Chili out, i see the logic of being worried. Kwani nani alikuambia kuwa kukaa sana ndani ya room ya interview ndio kupata kazi? Am proffesional but mind you niliwahii kupigwa interviw ya up to 1 and ahalf an hour na kazi nikakosa. Believe in your self, one time yes you'll make it. Now chili down and take ize.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom