Miaka kadhaa nyuma Nliwah kuona mbosso amewajengea nyumba wazazi wake.Zipo, familia ya Mbosso (wazazi wake) inaishi pale
asaidiwe matibabu hahahhMiaka ile meneja wa Yamoto Ndugu Saidi Fela, kuna nyumba aliwajengea/aliwanunulia vijana wake wa Yamoto bendi.
Hivi zile nyumba walipewa jumla au zilikuwa geresha tu za Bwana Fela!?
wazazi wa Mbosso wanaishi pale, hata leo nenda utawakuta paleMiaka kadhaa nyuma Nliwah kuona mbosso amewajengea nyumba wazazi wake.
Kwahy ukweli n upi, bado wazazi wanaishi kwenye nyumba ambayo mbosso alipewa na fella Au wanaishi kwenye nyumba waliojengewa na mwanae mbosso?