eti jamaa anamaanisha kuitwa kwenye usaili chuo cha nelson mandela,KUITA NINI?
Kuwa muazi broda!...funguka bana!
Halafu habari hii ndiyo NAFASI ZA KAZI NA TENDA?
jamani wadau wenye tetesi zozote za nelson mandela atujuze. Wameshaita?
Nafikiri intavyu bado, hapa jamvini naamini washikadau ni wengi tutasikia tu,jamani wadau wenye tetesi zozote za nelson mandela atujuze. Wameshaita?