feedback ya kikao na mkurya

nasikia makabila mengine yamepunguza na yanafanya kwa siri sana, ila wakurya wanafanya hadharani na wanadai ni uchafu.

Kumbe kile kidude kwa wenzetu ni uchafu. Kweli kule hata dhahabu mpaka leo yawezekana wanabadilishiwa kwa Shanga
 
kwenye msafara wa mamba kenge nao hawakosi. hivyo ww ndio kenge hapa. umesamehewa bure.

juu ya shingo yake kawekewa koroma. pole kwa yaliyokukuta.
please, be very careful unapongea nao. mi nilijifanya mshauri wa wanandoa fulani hivi, jamaa akaenda kumwambia mkewe kuwa nilimshauri A, B, C, D. Wacha ninuniwe na huyo mke na wao wakaendelea kula bata. nilikosa sana amani.
 
ahsante, nadhan atakuwa ameelewa.
 
Kumbe kile kidude kwa
wenzetu ni uchafu. Kweli kule hata dhahabu mpaka leo yawezekana
wanabadilishiwa kwa Shanga

hata mimi nimeshangaa. basi kama ndio hivyo wachafu ni wengi mjin hapa.
 
Mjini umkamate binti naniii..Aisee hyo fgm labda wakurya waliopo vijijini,aftrol mtu ukishajua umuhm wake ht kwenu utakimbia kuikwepa
 

ahsante mkuu Papii. nimekuelewa vizuri. hapa sio mahali salama kwangu ninafanya utaratibu.
 
Last edited by a moderator:
Pole hata hivyo wewe ni jasiri. Ukiweza hama kabla ya huyo mkewe kuja. Watakuwekea kinyongo.
 
Umefanya la maana kuamua
kuhama hapo. Hiyo ndoa ina mengi na wala mke kujua hautakuwa mwisho wa
mahusiano na mjita kama wameshazaa na anadai ndio chaguo lake.
Hama uwaachie sakata lao watatu watajua jinsi ya kulimaliza.
Gud luck!!!!!

mi nashangaa hivi inakuaje chaguo lake ameshindwa kumuoa lakini anaendelea kuwa naye tu.
 
Pole hata hivyo wewe ni jasiri. Ukiweza hama kabla ya huyo mkewe kuja. Watakuwekea kinyongo.

yaani nitakuwa adui wa watu watatu. maana mambo ya mapenzi atamsimulia hadi kimada wake.
 

hivi hizi ngo's mbona sinaishia mijini tu. yaan huko vijijini wanahitaji elimu sana. kuna mila zao nyigi tu si za kiungwana.
 
mi nashangaa hivi inakuaje chaguo lake ameshindwa kumuoa lakini anaendelea kuwa naye tu.

Anajifanya ana balance equation,wazazi waridhike kaoa wamtakaye na nafsi yake iridhike anavinjari na ampendaye! Kazi ipo hasa maana njia mbili zilimshinda fisi
 
nasikia makabila mengine yamepunguza na yanafanya kwa siri sana, ila wakurya wanafanya hadharani na wanadai ni uchafu.

Wakurya ni mambo hadharani yaani kila baada ya miaka 2 mida ya November na December wanatahiri, mfano mwaka jana 2012 walitahiri hivyo mwakani mida ya November to December 2014 wanatahiri tena, niliwahi kuwauliza baadhi wenye uelewa wanasema siku hizi wanatahiri ki-CCM kwa kuchanja kidogo ili angalau raia waone kwamba mtoto ametahiriwa
 
Anajifanya ana balance
equation,wazazi waridhike kaoa wamtakaye na nafsi yake iridhike
anavinjari na ampendaye! Kazi ipo hasa maana njia mbili zilimshinda
fisi

yaani ni ujinga ujinga tu.
 

Namalizia kukushauri hivi, siku nyingine usithubutu kuingilia ugomvi wa watu walio wahi kushea shuka au wanao endelea kushea shuka! hii milango ya vyumba vya baba na mama ikishafungwa huwa hatujui nini kinaendelea huko! ni vyema ukahama hapo maana nahisi kuna aibu inakunyemelea rafiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…