Feedback is very important!!! (mrejesho ni muhimu sana!!!)

Feedback is very important!!! (mrejesho ni muhimu sana!!!)

Umuhimu wa hiyo batoni ni pale unaposhukuru ya kuwa tatizo lako limefanikiwa. maforam ya zamani kulikuwaga hakuna hicho kitufe, na watu waliokuwa wanasaidiwa walikuwa wanaandika hoooooray senkyu, it worked senkyuuu, Well done na kuendelea yaani kama ni solution basi utakuta page tatu ni hayo senkyu yanajirudiarudia. ndo ikabidi hizi senkyuu za kuandika zirahisishwe na kuwekwa kitufe. ile thread iweze kueleweka. maana unaweza ukafungua page ya tatu unakutana na "thanks for the info"" thx" page nzima, unarudi nyuma ni "Oh! you are number one thanks", "thanks dude",Mkuu imekubali ahsante, unarudi nyuma ni hivyo hivyo sasa hata unakuwa huelewi thread ilikuwa na mada gani. nafkiri tutumie hicho kitufe cha Thanks ili thread iweze kusomeka vizuri. Itasaidia vilevile kuweka topic iliyotoa hiyo solution kuonekana vizuri kuliko kukutana na hayo ma senkyuu yaliyojaza page nzima. Nawaomba na Ma mods wawe makini katika hili.

Mimi nadhani katika hili tunajichanganya wenyewe
Hapa kuna mambo mawili tunachanganya
La kwanza ambalo mtoa mada ndio alimaanisha ni kuwa ukiomba msaada wa kitu ukapewa maelekezo nivizuri ukarudi na kutoa feedback kuwa nimefanya kama ulivyo nieleza na tatizo limekwisha, mfano mtu anaomba jinsi ya ku unstall let say karspersky inagoma kutoka wadau watampa solution tofauti kutokana na uelewa wa mtu, akifanikiwa harudi tena kusema jamani nimetumia njia aliotoa fulani ya kufanya hivi na hivi nimefanikiwa.
Lakini sasa mtu akifanikiwa anakula kona unamkuta jukwaa la mahaba nyinyi huku nyuma mnakazana kutoa masolution na kuanza kubishana.
Swala la pili ni kugonga thanx batani, hii inategemea na utashi wa mtu, kunawengine kwao kugonga thanx ni kama sumu na wengine tunatumia simu hii kitu haipo.

Nivizuri kufanya mrejesho ili wengine wajue namna uliofanya kupata ufumbuzi pia kumfanya alietoa ushauri afarijike kuwa ametoa mchango useful
 
Mimi nadhani katika hili tunajichanganya wenyewe
Hapa kuna mambo mawili tunachanganya
La kwanza ambalo mtoa mada ndio alimaanisha ni kuwa ukiomba msaada wa kitu ukapewa maelekezo nivizuri ukarudi na kutoa feedback kuwa nimefanya kama ulivyo nieleza na tatizo limekwisha, mfano mtu anaomba jinsi ya ku unstall let say karspersky inagoma kutoka wadau watampa solution tofauti kutokana na uelewa wa mtu, akifanikiwa harudi tena kusema jamani nimetumia njia aliotoa fulani ya kufanya hivi na hivi nimefanikiwa.
Lakini sasa mtu akifanikiwa anakula kona unamkuta jukwaa la mahaba nyinyi huku nyuma mnakazana kutoa masolution na kuanza kubishana.
Swala la pili ni kugonga thanx batani, hii inategemea na utashi wa mtu, kunawengine kwao kugonga thanx ni kama sumu na wengine tunatumia simu hii kitu haipo.

Nivizuri kufanya mrejesho ili wengine wajue namna uliofanya kupata ufumbuzi pia kumfanya alietoa ushauri afarijike kuwa ametoa mchango useful
Sio kujichanganya ila tukija kwa njia ya kureply kwa thx, kila mtu ata-reply mpaka page zitajaa. chukulia mfano labda umemuuliza dr phone swali ua tatizo. yeye dr phone anakupa 100% solution na anajua utafanikiwa hakupi solution ya kubaatisha yeye tayari anategemea utafanikiwa na kama utamkubali utagonga thx btn. labda kama utakwama kulingana na uelewa wako ndo utauliza swali na ulipokwama. kunapost moja aliifungua ni nzuri sana sasa kama mtu akisoma na akaona amefanikiwa kwa yale yaliyoandikwa basi atamgongea thanks lakini tukija na reply za " mkuu hii poa" mwingine atakuja na yake "duu imekubali" na mwingine we "kiboko" utakuja kukuta hapa katikati ndo yamejaa haya mavitu na yale muhimu aliyoyatoa kwa faida yetu yameachwa page mbili au tatu nyuma. mimi sidhani kama dr phone alipoziweka pale alidhani hazitatufaa bali alikuwa na uhakika kwamba zipo sahihi na tutamgongea 'thankx' labda kama unataka kuuliza swali.
 
Sio kujichanganya ila tukija kwa njia ya kureply kwa thx, kila mtu ata-reply mpaka page zitajaa. chukulia mfano labda umemuuliza dr phone swali ua tatizo. yeye dr phone anakupa 100% solution na anajua utafanikiwa hakupi solution ya kubaatisha yeye tayari anategemea utafanikiwa na kama utamkubali utagonga thx btn. labda kama utakwama kulingana na uelewa wako ndo utauliza swali na ulipokwama. kunapost moja aliifungua ni nzuri sana sasa kama mtu akisoma na akaona amefanikiwa kwa yale yaliyoandikwa basi atamgongea thanks lakini tukija na reply za " mkuu hii poa" mwingine atakuja na yake "duu imekubali" na mwingine we "kiboko" utakuja kukuta hapa katikati ndo yamejaa haya mavitu na yale muhimu aliyoyatoa kwa faida yetu yameachwa page mbili au tatu nyuma. mimi sidhani kama dr phone alipoziweka pale alidhani hazitatufaa bali alikuwa na uhakika kwamba zipo sahihi na tutamgongea 'thankx' labda kama unataka kuuliza swali.

Umesomeka na umeeleweka mkuu.
Tujitahidi kugonga thanx btn na kufanya mrejesho
 
Mimi nadhani katika hili tunajichanganya wenyewe
Hapa kuna mambo mawili tunachanganya
La kwanza ambalo mtoa mada ndio alimaanisha ni kuwa ukiomba msaada wa kitu ukapewa maelekezo nivizuri ukarudi na kutoa feedback kuwa nimefanya kama ulivyo nieleza na tatizo limekwisha, mfano mtu anaomba jinsi ya ku unstall let say karspersky inagoma kutoka wadau watampa solution tofauti kutokana na uelewa wa mtu, akifanikiwa harudi tena kusema jamani nimetumia njia aliotoa fulani ya kufanya hivi na hivi nimefanikiwa.
Lakini sasa mtu akifanikiwa anakula kona unamkuta jukwaa la mahaba nyinyi huku nyuma mnakazana kutoa masolution na kuanza kubishana.
Swala la pili ni kugonga thanx batani, hii inategemea na utashi wa mtu, kunawengine kwao kugonga thanx ni kama sumu na wengine tunatumia simu hii kitu haipo.

Nivizuri kufanya mrejesho ili wengine wajue namna uliofanya kupata ufumbuzi pia kumfanya alietoa ushauri afarijike kuwa ametoa mchango useful

Asante paulss kwa kunielewa vizuri. Mie nilikuwa namaanisha kama alivyofanya ndugu huyu (soma daraja hili hapa chini ukurasa wa tatu)
https://www.jamiiforums.com/technol...poteza-kibarua-changu-msaada-tafadhali-3.html

Alafu weukishatoa msaada usingoje shukrani, mola atakulipa kwa wema ulioufanya, hapa nina maana kuwa kuwa hata kama usipogongewa THANKS wee usijali!!! Maadam umetenda wema ujue utalipwa na muumba. Unatakiwa uelewe kuwa kuna baadhi ya binadamu hawajuwi kusema ASANTE kwa wanachopewa na SAMAHANI kwa makosa wanayotufanyia.
Idumu thread hii ya sayansi na teknolojia hapa jf, tuendelee kusaidiana tusichoke

 
Jamani nimelazimika kuinyofoa hii thread ili tukumbuke mrejesho nyuma ni muhimu
Asilimia karibu 90 ya wanaouliza vitu katika jukwaa hili hawarudi kusema chochote kama wamepata ufumbuzi au la, kwa kweli inaboa kama sio kuudhi.
utakuta watu mnaendelea kutoa solution kumbe mtoa mada labda alishatatua tatizo lake yupo jukwaa la wakubwa anakula raha ninyi mnakazana kutoa masolutiona huku nyuma
Umeomba kusaidiwa kitu wadau wakapoteza muda wao kuserch solution, wakipata wanakuwekea hapa, halafu wewe hurudi kuleta feedback.

Kwenye forums zingine kama ulicho uliza kimepata ufumbuzi basi mtoa mada analeta feedback na Kuna kuwa na option unayo click na Tittle ya thread inakuwa inaanza na neno SOLVED(ntapeleka ombi kwa mods kama inawezekana)
 
Back
Top Bottom