Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,035
- 144,396
Pamoja na dhamira hii njema ya Raisi Magufuli na chama chake, lakini bado swali hili linanijia kila kukicha na kama kuna mwenye jibu/ufafanuzi naomba anisaidie hapa.
Bunge lijalo litaanza tarehe 27 mwezi January na bila shaka shule za serikali zitakuwa teyari zimefunguliwa kabla ya tarehe hio.Sasa hapa itakuwaje?Je,itabidi mwakani shule zifunguliwe mwezi February?Au itabidi serikali iwakope wazabuni?Je, ni sahihi kwa serikali kuwakopa wazubuni huku ikitegemea kuwalipa kwa hela ambayo Bunge halijaipitisha?Je,tutarajie Bunge la dharura kwa ajili ya swala hili tu?
Je,si busara kwa hawa wenzetu kukiri kuwa walisukumwa tu na pressure na mihemko ya uchaguzi kiasi cha kutoa ahadi ambazo utekelezaji wake hauwezi kuanza sasa na kisha kuwaomba radhi wananchi?
Jamani si mliapa kuilinda katiba ya nchi?
Maswali ni mengi kuliko majibu!
Kweli cha kuazima hakisitiri maungo.
Hatimae nimejikuta nakumbuka ule uzi wa Pasco uliongelea swala la "Presidential decree".
Bunge lijalo litaanza tarehe 27 mwezi January na bila shaka shule za serikali zitakuwa teyari zimefunguliwa kabla ya tarehe hio.Sasa hapa itakuwaje?Je,itabidi mwakani shule zifunguliwe mwezi February?Au itabidi serikali iwakope wazabuni?Je, ni sahihi kwa serikali kuwakopa wazubuni huku ikitegemea kuwalipa kwa hela ambayo Bunge halijaipitisha?Je,tutarajie Bunge la dharura kwa ajili ya swala hili tu?
Je,si busara kwa hawa wenzetu kukiri kuwa walisukumwa tu na pressure na mihemko ya uchaguzi kiasi cha kutoa ahadi ambazo utekelezaji wake hauwezi kuanza sasa na kisha kuwaomba radhi wananchi?
Jamani si mliapa kuilinda katiba ya nchi?
Maswali ni mengi kuliko majibu!
Kweli cha kuazima hakisitiri maungo.
Hatimae nimejikuta nakumbuka ule uzi wa Pasco uliongelea swala la "Presidential decree".
Last edited by a moderator: