Fedha ya kugharamia elimu bure ilipitishwa na Bunge gani na ni kutoka fungu gani la Bajeti?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,035
144,396
Pamoja na dhamira hii njema ya Raisi Magufuli na chama chake, lakini bado swali hili linanijia kila kukicha na kama kuna mwenye jibu/ufafanuzi naomba anisaidie hapa.

Bunge lijalo litaanza tarehe 27 mwezi January na bila shaka shule za serikali zitakuwa teyari zimefunguliwa kabla ya tarehe hio.Sasa hapa itakuwaje?Je,itabidi mwakani shule zifunguliwe mwezi February?Au itabidi serikali iwakope wazabuni?Je, ni sahihi kwa serikali kuwakopa wazubuni huku ikitegemea kuwalipa kwa hela ambayo Bunge halijaipitisha?Je,tutarajie Bunge la dharura kwa ajili ya swala hili tu?

Je,si busara kwa hawa wenzetu kukiri kuwa walisukumwa tu na pressure na mihemko ya uchaguzi kiasi cha kutoa ahadi ambazo utekelezaji wake hauwezi kuanza sasa na kisha kuwaomba radhi wananchi?

Jamani si mliapa kuilinda katiba ya nchi?

Maswali ni mengi kuliko majibu!

Kweli cha kuazima hakisitiri maungo.

Hatimae nimejikuta nakumbuka ule uzi wa Pasco uliongelea swala la "Presidential decree".
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wakati wa kampeni umeisha wewe kila wakati unakuja na uzi wa kupingana na kasi ya Dr.Magufuli.

Umeishajiuliza kiongozi wako Lowassa alivyokuwa anatoa ahadi kuwa akichukuwa dola elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.

Vipi ulihoji pesa zitatoka wapi au Lowassa akisema marufuku kuhoji.
 
Mkuu wakati wa kampeni umeisha wewe kila wakati unakuja na uzi wa kupingana na kasi ya Dr.Magufuli.

Umeishajiuliza kiongozi wako Lowassa alivyokuwa anatoa ahadi kuwa akichukuwa dola elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.

Vipi ulihoji pesa zitatoka wapi au Lowassa akisema marufuku kuhoji.

Mkuu huyu ni mfuasi wa ccm ila amechanga na kasi ya magufuli.
 
Pamoja na dhamira hii njema ya Raisi Magufuli na chama chake, lakini bado swali hili linanijia kila kukicha na kama kuna mwenye jibu/ufafanuzi naomba anisaidie hapa.

Bunge lijalo litaanza tarehe 27 mwezi January na bila shaka shule za serikali zitakuwa teyari zimefunguliwa kabla ya tarehe hio.Sasa hapa itakuwaje?Je,itabidi mwakani shule zifunguliwe mwezi February?Au itabidi serikali iwakope wazabuni?Je, ni sahihi kwa serikali kuwakopa wazubuni huku ikitegemea kuwalipa kwa hela ambayo Bunge halijaipitisha?Je,tutarajie Bunge la dharura kwa ajili ya swala hili tu?

Maswali ni mengi kuliko majibu!

Hatimae nimejikuta nakumbuka ule uzi wa Pasco uliongelea swala la "Presidential decree".


Hata Obama ana rule kwa presidential decree kumbe unalijua hilo??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wakati wa kampeni umeisha wewe kila wakati unakuja na uzi wa kupingana na kasi ya Dr.Magufuli.

Umeishajiuliza kiongozi wako Lowassa alivyokuwa anatoa ahadi kuwa akichukuwa dola elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.

Vipi ulihoji pesa zitatoka wapi au Lowassa akisema marufuku kuhoji.

Kabla hatujaendelea na huo mjadala wake kuhusu Dkt Magufuli...hemu atueleze yeye, Je Lowassa angeshinda urais hiyo pesa ya elimu bure hadi chuo kikuu ingetoka wapi!?
 
Hela za elimu bure bora Magufuli kaishazikusanya tayari, hizo safari za nje alizokata, kodi walizokuwa wamekwepa, posho za vikao n.k

Za vikao vya bunge zikishakatwa nazo zitaongezea
 
Hela za elimu bure bora Magufuli kaishazikusanya tayari, hizo safari za nje alizokata, kodi walizokuwa wamekwepa, posho za vikao n.k

Za vikao vya bunge zikishakatwa nazo zitaongezea
Haya ndio matatizo ya kuiga sera!
 
Zile za maabara zilipitishwa na nani?tofauti ni kwamba maabara zilitukumbusha kodi ya kichwa ila elimu bure imewatumbua vigogo.
 
Pamoja na dhamira hii njema ya Raisi Magufuli na chama chake, lakini bado swali hili linanijia kila kukicha na kama kuna mwenye jibu/ufafanuzi naomba anisaidie hapa.

Bunge lijalo litaanza tarehe 27 mwezi January na bila shaka shule za serikali zitakuwa teyari zimefunguliwa kabla ya tarehe hio.Sasa hapa itakuwaje?Je,itabidi mwakani shule zifunguliwe mwezi February?Au itabidi serikali iwakope wazabuni?Je, ni sahihi kwa serikali kuwakopa wazubuni huku ikitegemea kuwalipa kwa hela ambayo Bunge halijaipitisha?Je,tutarajie Bunge la dharura kwa ajili ya swala hili tu?

Maswali ni mengi kuliko majibu!

Je,si busara kwa hawa wenzetu kukiri kuwa walisukumwa tu na pressure na mihemko ya uchaguzi kiasi cha kutoa ahadi ambazo utekelezaji wake hauwezi kuanza sasa na kisha kuwaomba radhi wananchi?

Jamani si mliapa kuilinda katiba ya nchi?

Hatimae nimejikuta nakumbuka ule uzi wa Pasco uliongelea swala la "Presidential decree".

mkuu swali lako zuri sana ila lilifaa kumuuliza lowasa sio dr magufuli
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada maliza kwanza diploma yako ya clearing ndo uje kuleta hoja hapa.

Mambo nyeti ya maslahi ya nchi maelekezo yoyote sahihi.

Usitegemee ukimaliza kozi utapiga ushuru wetu, kumebanwa huku.
 
Mtoa mada maliza kwanza diploma yako ya clearing ndo uje kuleta hoja hapa.

Mambo nyeti ya maslahi ya nchi maelekezo yoyote sahihi.

Usitegemee ukimaliza kozi utapiga ushuru wetu, kumebanwa huku.
Umekiuka kifungu cha 16 cha cyber law kwa uongo na upotoshaji.
 
Naona awamu hii ni mwendo wa "the end justifies the means!"
Jibu swali acha kuruka ruka kama nguchiro Lowassa, alivyokuwa anatoa ahadi zake kwenye kampeni kuwa tukimchagua elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu pesa angetoa wapi???
 
Jibug swalia acha kuruka ruka kama nguchiro Lowassa alivyokuwa anatoa ahadi zake kwenye kampeni kuwa tukimchagua elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu pesa angetoa wapi???

Hayo maswali yanakupa ujumbe gani?

Au taratibu za kufuata huzijui?

Kuna dalili gani ya kufuata hizo taratibu unayoiona mpaka leo hii?

Bora hata sisi tunaohoji kwa nia njema kwani huenda tukawa tunaisaidia serikali kuliko nyinyi wenzetu wenye vipaji vya kupiga makofi.
 
Jibu swalia acha kuruka ruka kama nguchiro Lowassa alivyokuwa anatoa ahadi zake kwenye kampeni kuwa tukimchagua elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu pesa angetoa wapi???

Mkuu vichwa vya panzi hivyo, wasamehe bure.
 
Hayo maswali yanakupa ujumbe gani?

Au taratibu za kufuata huzijui?

Kuna dalili gani ya kufuata hizo taratibu unayoiona mpaka leo hii?
Jibu swali acha kuruka ruka kama nguchiro Lowassa, alivyokuwa anatoa ahadi zake kwenye kampeni kuwa tukimchagua elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu pesa angetoa wapi???
 
Back
Top Bottom