Fedha ya kugharamia elimu bure ilipitishwa na Bunge gani na ni kutoka fungu gani la Bajeti?

Shida iko wapi, Huduma ya hosteli ni private. Gharama zake zitafuata maelekezo yanayozihusu shule binafsi.
 
pamoja na umuhimu wake nyingi ni miradi binafsi ya wakuu wa shule !
 
Kama tunavojua kuwa hostel si program ya wizara au shule kwa wanafunzi wa kutwa.je,wazaz wataendelea kuwahudumia au srkl

Zitaendeshwa kwa michango ya wazazi/ walezi.

Pia,kumbuka ada za mitihani ya drs la 4,7 na mitihani kidato cha 2 , 4 na 6. Wazazi watakamuliwa tu.
 
Kilichofutwa ni ada, hela za mitihani, mishahara ya watumishi wasio walimu kama walinzi,wapishi kwa shule za bweni, michango ya madawati n.k
 
Sera ya elimu ilitoka tangu kabla ya uchaguzi na ilisema kuanzia mwaka 2016. Elimu itakuwa bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne. Hata kingeshinda chama gani ingewabidi kutekeleza ivoo
 
Back
Top Bottom