Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 366
- 645
Habarani ndugu juzi nimeagiza mzigo kutoka nje ya nchi umekuja kwa Fedex umefika Dar jamaa wanakomaa na kodi wakati mzigo una thamani ya 43USD na ndicho kilichoandikwa katika mzigo.
Wamenipigia simu wanahitaji kodi na mambo ya clearance km laki mbili hivi.
Mwaka juzi niliagiza na DHL waliniambia kitu km hiki lkn baada ya kuwaambia na kuona mzigo ni chini ya 50USD waliuachia mzigo na nikaupata FREE. Fedex wamekomaa
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu
Wamenipigia simu wanahitaji kodi na mambo ya clearance km laki mbili hivi.
Mwaka juzi niliagiza na DHL waliniambia kitu km hiki lkn baada ya kuwaambia na kuona mzigo ni chini ya 50USD waliuachia mzigo na nikaupata FREE. Fedex wamekomaa
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu