Atletico Bilbao mnazo sababu kubwa 3 kuwafunga hawa Mbwa Leo:
1. Bibi yao Iniesta kavunjika kiuno, pale kati leo njia nyeupeee...
2. Dada Maserano amekuja kusindikiza tu timu, hataingia uwanjani. Namba sita njia nyeupee...
3. Wana uchovu wa Maandamano, Mabomu ya machozi ya jana wakidai waachiwe Catalonia yao kutoka kwa Mabepari wa jiji la Madrid.
Pigeni hawa Mbwa kesho niamke na hela ya supu.