Anamagoli mangapi msimu huu mpaka awe mfungaji bora?Mkuu Huyo messi wenu si wakulinganishwa na ronaldo bhana...maana bado sana kwa CR7...sasa hivi bwana CR7 ndie Mfungaji bora ulaya katika LIGI KUU 7 BORA EUROPE NA SIO HUYO MESSI...CR7 Ameshavunja record ya jimy greevs...na sasa bado magoli saba TU avunje record ya GWIJI ALIYEICHEZEA CLUB YA SANTOS YA HUKO BRAZIL "PAUL NUTALI'S"...muulize neymar anamjua sana Huyo Paul Nutali's na Alitamani sana kufikia record ya magoli ya Huyo jamaa pindi alipokuwa pale SANTOS ili apewe heshima ya kipekee klabuni hapo lakini hatimaye alichemka na HESHIMA YA BWANA PAUL NUTALI'S IMEBAKIA MIOYONI MWA WASHABIKI WA SANTOS FOREVER...KWA SASA MCHEZAJI PEKEE ANAYETAZAMIWA KUFIKIA RECORD HIYO NI CR7 TU KWA MAANA ANA MAGOLI 400 KATIKA LIGI NYUMA KWA MAGOLI 7 DHIDI YA PAUL NUTALI'S MWENYE RECORD YA MAGOLI 407 YA LIGI...Hii ni kwa league(LaLiga) tu...ebu imagine LEO10 amemtangulia CR7 5-SEASONS OF LALIGA PALE SPAIN LAKINI RONALDO KACHEZA MISIMU 7 TU NA AMEMZIDI HUYO MESSI WENU MAGOLI KATIKA LIGI...
View attachment 507273 View attachment 507323
View attachment 507272 View attachment 507325 View attachment 507330
View attachment 507274
View attachment 507293
CR7 Si mtu mzuri yule jamaa anashindana Kufunga magoli na "TEAM AS A TEAM" na sio individual person kama LEO10...Ebu ona kwa upande Wa UEFA Champions League(Ligi ya vilabu bingwa ulaya) jamaa ana magoli mengi Kuliko ata TEAMS kama ATLETICO MADRID,BENIFICA NA NYENGINEZO...WAKATI HIZO TEAMS ZIMEANZISHWA ATA CR7 HAJULIKANI KAMA ATAZALIWA LAKINI AMEISHAZIZIDI MAGOLI UEFA...
View attachment 507284 View attachment 507329
View attachment 507302 View attachment 507327
Kuzihirisha CR7 ni habari nyingine katika swala la UFUNGAJI...ana viatu vinne Vya ufungaji bora katika ligi ya mabingwa ulaya mbele ya Huyo messi wenu mwenye vitatu...Na msimu huu naona messi haamini kinachotokea kuwa RONALDO ANAENDA KUONGEZA KIATU CHA TANO CHA DHAHABU KWENYE KABATI LAKE maana LEO10 ana MAGOLI 11 na Assist 2...Wakati CR7 Ana MAGOLI 10 na Assist 5...Hivyo ni swala dogo sana kwa CR7 Kupata hilo goli moja na kwa kuwa ameshamzidi LEO10 kwa assist this season 2016/2017 in UEFA Atapewa kiatu chake Safiii kabisa...hapa LEO10 haelewi kabisa CR7 NI KIUMBE WA AINA GANI KWA KUWA ALIMUACHA GOLI 9 NYUMA MARA IMEKASORO GOLI MOJA TU...YANI RONALDO KASHINDA MAGOLI 8 KATIKA MECHI TATU MFULULIZO WITH A BACK-TO-BACK HAT-TRICKS AGAINST BAYERN AND ATLETICO MADRID.
View attachment 507288
View attachment 507289 View attachment 507315 View attachment 507316 View attachment 507320
View attachment 507294 View attachment 507321 View attachment 507322
Bila kusahau GOLI LAKE ALILOWAFUNGA "AS ROMA" MSIMU ULIOPITA UEFA NDILO LILIPIGIWA KURA NA KUCHAGULIWA GOLI BORA LA UEFA MSIMU WA 2015/2016...NA BADO GOLI LAKE LA MWISHO ALILOWAFUNGA BAYERN KULE ALIANZ ARENA(FIRST-LEG) MSIMU HUU LIMEPIGIWA KURA KUWA BEST GOAL OF THE QUARTER-FINAL UEFA SEASON 2016/2017...
View attachment 507295
CR7 Ndiye mchezaji anayeongoza kuzifunga teams kubwa za ujerumani..na amewafunga GOALKEEPERS bora magoli mengi barani ulaya...wakiwemo Neur na Buffoni(sina wasi ata fainali historia yake ya kumfunga Buffon itajirudia)...messi hajawai mfunga Gianlugi Buffon...kashindwa hadi na dogo yule KYLAN MBAPPE Wa Monaco Jana...mkiambiwa mnasingizia Ooh!..ukuta Wa juve mgumu sana ule...kama hivyo ndivyo mbona yule dogo kamtoboa mtu mzima Buffon 2nd-Leg Jana?
->BINAFSI NAFATILIA SOCCER NA RECORDS ZA HAWA VIJANA WAWILI NAWEZA KUFANYA SIMPLE CLASSIFICATION BAINA YAO...KAMA IFUATAVYO...
CONCLUSION...
1st - "IT'S SIMPLY LEO10 SCORE GOALS BUT CR7 IS A DEFINITIVELY GOAL-SCORING MACHINE TESTED TO THE LIMIT..."
2nd - "LEO10 OWN THE PITCH BUT CR7 OWN THE BOX..."
3rd - "THEY ARE TWO DIFFERENT PLAYERS..AS A LEO10 IS A MASTER-DRIBBLE AND TALISMAN WHILE CR7 IS A MASTER-PACE AND GOAL-POACHER".....
Man utd ana kombe la Capital one na anenda fainali ya Europa
Anamagoli mangapi msimu huu mpaka awe mfungaji bora?
Halafu mleta picha haja mlinganiaha messi na Ronaldo wako!!!
EPL ya mwaka gani?Man utd ana kombe la EPL na anenda fainali ya Europa
Messi ana kombe gani kama siyo la chai!?
LA chai haahaaaaaaa wakati mmelikosaMan utd ana kombe la EPL na anenda fainali ya Europa
Messi ana kombe gani kama siyo la chai!?
Yaani mashabiki wa mpira nikama akiri tunajitoaga sometimes, hivi unategemea kila msimu awe vzr?SSawa mkuu...sikatai kwenye LaLiga this tyme LEO10 Anachukua kiatu cha mfungaji bora...but I wonder that LEO10 anajua wazi EUROPEAN GOLDEN BOOT kwenye UEFA kitachukuliwa na nani...So far kiatu kipi kina thamani mkuu???...kati ya Kile cha Laliga na UEFA.
sja sema EPL nimesema Capital oneEPL ya mwaka gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]LA chai haahaaaaaaa wakati mmelikosa
jirani msifie bwana, jamaa kaleta bonge ya facts, sasa unabisha hadi factsAnamagoli mangapi msimu huu mpaka awe mfungaji bora?
Halafu mleta picha haja mlinganiaha messi na Ronaldo wako!!!
we ni muongeaji Pumba mzuri sema tu una mapenzi na Ronaldo Bhana ni ujinga Kumfananisha Messi na Ronaldo watu washssema Magician MessiahSSawa mkuu...sikatai kwenye LaLiga this tyme LEO10 Anachukua kiatu cha mfungaji bora...but I wonder that LEO10 anajua wazi EUROPEAN GOLDEN BOOT kwenye UEFA kitachukuliwa na nani...So far kiatu kipi kina thamani mkuu???...kati ya Kile cha Laliga na UEFA.
we ni muongeaji Pumba mzuri sema tu una mapenzi na Ronaldo Bhana ni ujinga Kumfananisha Messi na Ronaldo watu washssema Magician Messiah
Tuzo ya mwanasoka bora itaenda kwa Buffon au Messi , hutaki achaHahaha!...mkuu comment yako imenikumbusha kuna mtandao mmoja nilitembelea nikakuta SHABIKI MMOJA WA BARCA Analalamika anasema LEO10 ni bora kuliko CR7...Na akaendelea kusema "CR7 Hagusi moto Wa LEO10 Lakini Tatizo CR7 Anajifichia kwenye GOALS and TROPHIES"...Binafsi namkubali sana LA PULGA Na kiukweli Mchezaji mwenye DRIBBLE anavutia kumwangalia uwanjani kuliko Mwenye PACE MOVEMENTS...kwa kuwa Mchezaji mwenye dribble huwa anavuruga defence na ukiona Beki ameuchukua mpira miguuni mwake Mara nyingi ujue amemchezea rafu...na mwenye Pace huwaga anafanya mashambulizi ya ghafla kwenye goli la adui na huyu huwa hakai sana na mipira kulinganisha na yule mwenye dribble...AFTERALL Tuzo ya mchezaji bora Wa dunia(Ballon D'or) haitolewi kwa kuàngalia aina ya uchezaji Wa wachezaji husika pindi wawapo uwanjani Bali mafanikio yake katika msimu kwa kuangalia kwenye national team na makombe ambayo mchezaji ameiletea club yake katika msimu husika then vigezo vingine kama RECORDS WALIZOVUNJA NA MPYA WALIZOJIWEKEA,IDADI YA HAT-TRICKS...GOALS na ASSIST hujazia uzito Tu kwenye kuwania tuzo hiyo...sasa unakuta mtu amechukua eti kombe moja tena dogo sio ata la ligi...labda uku mwengine amebeba uefa na kombe la ligi...then mchezaji bora awe Huyo Wa kwanza, No!No!No!...Haiwezekan alafu unakuta mashabiki wake eti wanalalama kuwa alistahili ukiuliza anavigezo gani msimu Huu kumzidi mwenzie Utaambiwa Ooh!.."Messi hatari anachukuaga vijiji Vya mabeki uwanjani" Mara "Jamaa nomaa anafinyaga hadi makipa yule"...Sasa kwa mtizamo Wa kawaida hivyo vinaweza kuwa vigezo Vya kumzuia mpizani wake kwenye tuzo kama hiyo?...Nyinyi jamaa bhana Mtaishia kuita majina kibao nini Messiah ata Messinho...pasipo na effect yoyote!!!
View attachment 507687 View attachment 507688View attachment 507693 View attachment 507690 View attachment 507695
View attachment 507696 View attachment 507697 View attachment 507708 View attachment 507715
Na msimu huu akifanikiwa kubeba UEFA Champions League na LaLiga then Akipata na Golden-Boot kama mfungaji bora Wa UEFA(Ombeni hili lisitokee)...mjue kabisa Ballon D'or ya tano itamuhusu tena kijana huyu...The bronze man!
View attachment 507698 View attachment 507731
CR7 Huinua makombe huku LEO10 Huinua JEZI(Always the Difference)...Na akifanya masihara msimu huu atainua hadi jezi ya mwenzie...So Sad!!!
View attachment 507704 View attachment 507702
Msimfiche...mwambieni Magician Messiah kuwa CR7 Sio level yake...maana CR7 is Simply A GOAL-SCORING MACHINE TESTED TO THE LIMIT...
-------____------____-------____-------____-------____-------____-------____-------_____-------
Mwisho wa siku...hizi ni facts na mitazamo yetu tu mashabiki lakini jamaa hawana uadui Bali ni ushindani katika Football Industry...na kiukweli wameiteka game ni kwa takribani miaka 10 sasa...they're going HEAD2HEAD...kuna mtandao mmoja niliupitia huko UK wanadai hii DUO imeshikilia nusu ya mashabiki wote Wa soka duniani...hatari!!!
View attachment 507721 View attachment 507728 View attachment 507729
Lile swali la nani ni bora kati yako...Daima litabaki kwa mashabiki Wa soka wenyewe...
View attachment 507734 View attachment 507741 View attachment 507743
--------------------------------------------- The END --------------------------------------------------------
Tuzo ya mwanasoka bora itaenda kwa Buffon au Messi , hutaki acha
Hizi ni habari njema kama itakuwa hvyoWakuu Coutinho tunakaribia kuinasa saini nafasi yake na good news King Messi very soon atasaini mkataba mpya utakaokomea 2022
Options niHizi ni habari njema kama itakuwa hvyo
Hakika kijana wangu una Mapenzi yaDhati na CR7 kweli kama unaona CR7 ni bora kuliko LEO10 basi una mahaba naye kwa 7b kila mpenda soka na anayelijua soka anajua Moto wa Messi na Msimu Huu messi atakuwa mfungaji bora Ulaya Nzima......Uefa....La liga sasaa sijui uyo Mviziaji wako atashnda nn na usiseme kwamba trophies kila wakati inaamua mshindi maana ata misimu ya apo juzi chelsea na Bayern walishnda uefa lakini Ballon dor Haikuenda kwao!Hahaha!...mkuu comment yako imenikumbusha kuna mtandao mmoja nilitembelea nikakuta SHABIKI MMOJA WA BARCA Analalamika anasema LEO10 ni bora kuliko CR7...Na akaendelea kusema "CR7 Hagusi moto Wa LEO10 Lakini Tatizo CR7 Anajifichia kwenye GOALS and TROPHIES"...Binafsi namkubali sana LA PULGA Na kiukweli Mchezaji mwenye DRIBBLE anavutia kumwangalia uwanjani kuliko Mwenye PACE MOVEMENTS...kwa kuwa Mchezaji mwenye dribble huwa anavuruga defence na ukiona Beki ameuchukua mpira miguuni mwake Mara nyingi ujue amemchezea rafu...na mwenye Pace huwaga anafanya mashambulizi ya ghafla kwenye goli la adui na huyu huwa hakai sana na mipira kulinganisha na yule mwenye dribble...AFTERALL Tuzo ya mchezaji bora Wa dunia(Ballon D'or) haitolewi kwa kuàngalia aina ya uchezaji Wa wachezaji husika pindi wawapo uwanjani Bali mafanikio yake katika msimu kwa kuangalia kwenye national team na makombe ambayo mchezaji ameiletea club yake katika msimu husika then vigezo vingine kama RECORDS WALIZOVUNJA NA MPYA WALIZOJIWEKEA,IDADI YA HAT-TRICKS...GOALS na ASSIST hujazia uzito Tu kwenye kuwania tuzo hiyo...sasa unakuta mtu amechukua eti kombe moja tena dogo sio ata la ligi...labda uku mwengine amebeba uefa na kombe la ligi...then mchezaji bora awe Huyo Wa kwanza, No!No!No!...Haiwezekan alafu unakuta mashabiki wake eti wanalalama kuwa alistahili ukiuliza anavigezo gani msimu Huu kumzidi mwenzie Utaambiwa Ooh!.."Messi hatari anachukuaga vijiji Vya mabeki uwanjani" Mara "Jamaa nomaa anafinyaga hadi makipa yule"...Sasa kwa mtizamo Wa kawaida hivyo vinaweza kuwa vigezo Vya kumzuia mpizani wake kwenye tuzo kama hiyo?...Nyinyi jamaa bhana Mtaishia kuita majina kibao nini Messiah ata Messinho...pasipo na effect yoyote!!!
View attachment 507687 View attachment 507688View attachment 507693 View attachment 507690 View attachment 507695
View attachment 507696 View attachment 507697 View attachment 507708 View attachment 507715
Na msimu huu akifanikiwa kubeba UEFA Champions League na LaLiga then Akipata na Golden-Boot kama mfungaji bora Wa UEFA(Ombeni hili lisitokee)...mjue kabisa Ballon D'or ya tano itamuhusu tena kijana huyu...The bronze man!
View attachment 507698 View attachment 507731
CR7 Huinua makombe huku LEO10 Huinua JEZI(Always the Difference)...Na akifanya masihara msimu huu atainua hadi jezi ya mwenzie...So Sad!!!
View attachment 507704 View attachment 507702
Msimfiche...mwambieni Magician Messiah kuwa CR7 Sio level yake...maana CR7 is Simply A GOAL-SCORING MACHINE TESTED TO THE LIMIT...
-------____------____-------____-------____-------____-------____-------____-------
Mwisho wa siku...hizi ni facts na mitazamo yetu tu mashabiki lakini jamaa hawana uadui Bali ni ushindani katika Football Industry...na kiukweli wameiteka game ni kwa takribani miaka 10 sasa...they're going HEAD2HEAD...kuna mtandao mmoja niliupitia huko UK wanadai hii DUO imeshikilia nusu ya mashabiki wote Wa soka duniani...hatari!!!
View attachment 507721 View attachment 507728 View attachment 507729
Lile swali la nani ni bora kati yako...Daima litabaki kwa mashabiki Wa soka wenyewe...
View attachment 507734 View attachment 507741 View attachment 507743
----------------------------------------- The END ------------------------------------------
Karbumkuu una hisa nini huko kwenye betting site?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]