Mpira wa kuutuliza kwa mbele yeye anasubil unite il aukimbize... Daaah hil chezaj hapana aisee..Mara Mia moja acheze mwenye no.yake Sergio Robert kuliko nyang'au huyu...
Chezaj Zito kama Lina dambi..yaan hamna hata movement kama mid..limeganda kama robot na kila likikaba inakua faulo..yaan halijawin mpira hata mmoja
Me imeniuma sana kadi nyekundu hakukuwa na sababu ,halafu Andres Gomez huyu hata Ndanda FC hawezi kutakiwa he doesnt deserve to play Barcelona Louis Enrique sijui aambiwe mara ngapi?anaua morale ya wachezaji