😀😀 Ukifuatilia comment za liverpool fans be4 final na sevilla utacheka,, walijiamini wakajua kombe ni la kwao yaani nilicheka, nikaona nisichangie chochote tusubiri hiyo cku tuone izo mbwembwe zao
Ubingwa wa Leo wa Barcelona utaifanya Barcelona iwe imetwaa jumla ya mataji 90 tangu kuanzishwa kwake na itaendeleza rekod ya Klabu yenye jumla ya makombe mengi baranj ulaya nyuma ya R.Madrid wenye 82
Ubingwa wa Leo wa Barcelona utaifanya Barcelona iwe imetwaa jumla ya mataji 90 tangu kuanzishwa kwake na itaendeleza rekod ya Klabu yenye jumla ya makombe mengi baranj ulaya nyuma ya R.Madrid wenye 82
Ubingwa wa Leo wa Barcelona utaifanya Barcelona iwe imetwaa jumla ya mataji 90 tangu kuanzishwa kwake na itaendeleza rekod ya Klabu yenye jumla ya makombe mengi baranj ulaya nyuma ya R.Madrid wenye 82