Mbona Ronaldo huwa anatambua sana kwamba hamfikii Messi, ndo maana huwa anafanya mazoezi saana na kujituma ili amfikie Messi. Ila mashabiki wa Ronaldo sasaaaa...............
Mbona Ronaldo huwa anatambua sana kwamba hamfikii Messi, ndo maana huwa anafanya mazoezi saana na kujituma ili amfikie Messi. Ila mashabiki wa Ronaldo sasaaaa...............
Sijui vile vilaza Man U vilifikiria nini kumsajili Neymar, yaani mtu aache Club ambayo ana uhakika wa Makombe kisha aende kwenye timu inayopigania top 3. Tena UEFA imeingia kwa kusuasusa msimu huu.
Sijui vile vilaza Man U vilifikiria nini kumsajili Neymar, yaani mtu aache Club ambayo ana uhakika wa Makombe kisha aende kwenye timu inayopigania top 3. Tena UEFA imeingia kwa kusuasusa msimu huu.