Kwema Blaugranas?
Tumekua vichekesho sana miaka ya hivi karibuni, but slowly naona tunaanza kurudi. Sina imani sana na Xavi, ila kikosi kinahitaji kama three world class entries ili tukamilike.
Wing ya kushoto bado ni tatizo, Joao Felix naona kama ameshindwa kufikia matarajio tuliyokua nayo kwake. Lewandoski is totally a failure. Anapoteza chances nyingi, na pia involvement yake kwenye team ni ndogo sana. Kwenye midfield, pengo la Busquets bado linatutesa. We need a good defensive midfielder.
Our defence is fine. Ni vile tu wanakua exposed sana kutokana na mapengo ya pale katikati.
I really trust La Porta. Naamini kuna vitu kadhaa atafanya kuikoa team, despite the financial crisis. Jirani yetu huko gari lake linawaka poa, akimpata na Mbappe ndio basi tena. Tutaishi kwa tabu sana!
VISCA BARCA!