Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Bado tukiwa na shida na ukuta tayari tatizo la wafungaji limeongezeka....hakuna namna timu yetu isukwe upya....cjui kipi kinachosababisha tusisajili ma straiker wa kiwango na hadhi yetu kama walivyokua enzi za MSN....
Naona safari hii tupambanie makombe ya ndani tu
Bila kurudi Pep hapo camp nou nahisi hakuna mwalimu atakayetunusuru
Mbovu sana ,tushaamia PSGBarcelona ya sasa haina tofauti na Arsenal tofauti ni jezi tuu.
Hapa ndio unajua Baca wana mashabiki fake. Badilini thread iwe Mess thread. Bahati mbaya nae huko aliko kwa sasa anaonekana wa kawaida tu.
Da! Ila jamaa waliongea sana CR7 kuondoka Madrid. Walijua Madrid imekwisha.Wenye thread wamehamia PSG.