FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread


Timu imepoteza ladha bila ya Messi. Yeye ndio mchezeshaji watimu, yeye ndio ball controller, yeye ndio mpigaji bora wa freekik/faulo, yeye ndio mpiga corner mzuri, yeye ndio muzee wa dribbling and skills n.k. mwishoo, yeye ndio anaamuwa matokea.
 
Barcelona ilimnyatia mshambuliaji wa Leeds Rodrigo, 30 katika siku ya mwisho ya dirisha la uhamisho msimu huu , lakini klabu hiyo ya ligi ya Premia ikakataa ofa hiyo ya raia huyo wa Uhispania.
 
🇪🇸 #Xavi: “In #England, if you do a couple of things right and play a few good games, people talk about you being a legend. The media overreacts a lot and overrates a lot of the players.” 😳🙆‍♀️
 
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪😝🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪😝🤪🤪
 
Hapa ndio unajua Baca wana mashabiki fake. Badilini thread iwe Mess thread. Bahati mbaya nae huko aliko kwa sasa anaonekana wa kawaida tu.
 
Koeman bado hajatimuliwa? Wanasubiri nini? Project mpya ya Barcelona inahitaji kocha mzuri kwenye tactics, Koeman hafai.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…