Karibu sana rafiki yake daddy, jana daddy alikuombea akiwa home siyo kule buguruni ndo maana sala zake zilifika mbinguni, nawe utushike leo kwa sala ,jana Tevez alipokuwa akikimbiza nilikuwa nanena kwa lugha ,Morata akishika mpira naona malaika WA magol wakimuongoza, ile Penalt loh niliita ajibuye kwa moto afanye yake....ule ukuta wa utatu mtakatifu wa Chiellin,Barzagli na Bonucci ni noma ni kama mlima wa Sayuni.......
Karibu sana rafiki yake daddy, jana daddy alikuombea akiwa home siyo kule buguruni ndo maana sala zake zilifika mbinguni, nawe utushike leo kwa sala ,jana Tevez alipokuwa akikimbiza nilikuwa nanena kwa lugha ,Morata akishika mpira naona malaika WA magol wakimuongoza, ile Penalt loh niliita ajibuye kwa moto afanye yake....ule ukuta wa utatu mtakatifu wa Chiellin,Barzagli na Bonucci ni noma ni kama mlima wa Sayuni.......
Malizia kwa kuandika ulikuwa ni ukuta wa Yeriko. Wana wa Israel waliuzunguka mara Sabaaa, na kisha ukadondoka.
Hahahahahahaha!!! Daddy watakaouzunguka ni sisi lazima tuingie tule maziwa na asali kombe ni letu, kwahiyo tulia sijataka kufika mbali huko...........
si bora useme hivyo...mbaya ni pale utakapo shangilia goli la Bayern ukidhani ni Barca ndo kafunga!!manundu yatakuhusu wallah..
mpira wa bayern mpaka ionyeshwe marudio ndo utajua nani katia goli, wote huenda kuzongea goli, waweza kumkuta anashereke lewandoski kumbe goli ametia boateng. leo acha wapigwe, suares hawezi waacha hawa wajerumani
Karibu sana rafiki yake daddy, jana daddy alikuombea akiwa home siyo kule buguruni ndo maana sala zake zilifika mbinguni, nawe utushike leo kwa sala ,jana Tevez alipokuwa akikimbiza nilikuwa nanena kwa lugha ,Morata akishika mpira naona malaika WA magol wakimuongoza, ile Penalt loh niliita ajibuye kwa moto afanye yake....ule ukuta wa utatu mtakatifu wa Chiellin,Barzagli na Bonucci ni noma ni kama mlima wa Sayuni.......
Nipo hapa nimejaa tele-napiga permutations za hii trio yetu ya ushambuliaji alaafu natizama beki ya Bayern najaribu kukisia ni beki gani atacheza kama marcelo jana hili watu wapiti kiulaini
Hahahahaha shemeji hizo sala leo zihamishie kwa Suarez, Neymar na mtakatifu Messi. yani magoli yawe meeengi shemejio nipate raha utamu. Si unajua Licerpool na Simba washaniangusha??
Kiumbe wa Ajabu...
Mjerumani Halisi tena mwenya Roho ya kijerumani.
Hodi humu... daddy mwambie douta wake namtafuta.
Kwa kweli Barca amekuwa mchepuko wa ukweli.... Yaani hizi sala leo ni Mara 3 yake wakati nawe unashushia one for the lord usisahau kuitikia Amen......
tofautu ya Barca na real Madrid ni Barca mtu mmoja akiwa off colour wengine watafunga. Madrid,Ronaldo mpira ukikataa na timu imekwama. websites nyingi spain zinasema Bale apigwe person non grata to save him from more misery
Yule anasoma tabloids alaafu analeta kujua-utashindana vipi na mtu yuko jikoni??? sasa hivi anasubiri new season afufukeunamkumbuka TUPACified wa huku JF?
duuh lakini waafrika tuna taabu sana nimemsoma Adebayo mambo aliongea imenisikitisha sana-yaani hela yake mwenyewe lakini inaleta shida ndugu saa ingine ni noma-ndio maana Balotelli kafunga vioo
Yule anasoma tabloids alaafu analeta kujua-utashindana vipi na mtu yuko jikoni??? sasa hivi anasubiri new season afufuke