Katika hilo big up kwake Messi kawaziba midomo wanaochonga eti mbinafsi.........Haya wangu huku mambo safi roho kwatu twende zetu England hope leo tutacheka kama huku.....
Messi ndo anapendwa na watu si mchoyo mpole hana makeke ukimwambia funga tu anafunga ukimwambia chezesha timu anachezesha ukimwambia to a assist anafanya jamaa ndo maana kabirikiwa sio yule bishoo mpenda misifa
Katika hilo big up kwake Messi kawaziba midomo wanaochonga eti mbinafsi.........Haya wangu huku mambo safi roho kwatu twende zetu England hope leo tutacheka kama huku.....