Yani hapa na TV nimezima kabisa...haya matimu hayana ata upinzani.....au upinzani mpk yamuone baba wangu Mourinho tu... Hebu waangalie na hao Porto...wamefika Munich kz kusema Shikamooo Guadiora. Wamekula 5 ndani ya dk 45 sasa kipindi kingine si watakua 10? Hakuna mpira Wa kutizama Leo ngoja kesho kwa kibibi kizee cha Turin huko kitakua Monaco kinajikongoja....
Yani hapa na TV nimezima kabisa...haya matimu hayana ata upinzani.....au upinzani mpk yamuone baba wangu Mourinho tu... Hebu waangalie na hao Porto...wamefika Munich kz kusema Shikamooo Guadiora. Wamekula 5 ndani ya dk 45 sasa kipindi kingine si watakua 10? Hakuna mpira Wa kutizama Leo ngoja kesho kwa kibibi kizee cha Turin huko kitakua Monaco kinajikongoja....