Nurdin moh'd
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 367
- 70
TATIZO HUWA HAMSHIRIKISHI UBONGO KABLA YA KUONGEA!!! Hivi hawakuja waokoaji kutoka SOUTH AFRIKA NA MISRI?
FBI WAACHENI WAFANYE KAZI YAO WASIWASI WA NINI! Kama umo utakamatwa tu. Na mzizi wa fitna utoke
Hao wasouth waliokoa watu wangapi?na wale waislam waliouliwa na mkapa kule z'br 2001 mlileta nani kuja kuchunguza?