above metal04
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 272
- 224
Nadhani hapa kuna kamchezo fulani. Kwa sasa duniani kuna wataalam wa cyber security na wajuzi wa reverse engeneering sizani kama kweli hizo simu za apple zinashindikana kufunguliwa. Ni mbinu tu ya kutangaza bidhaa zao
Mkuu uwezekano wa kufungua hizo simu zipo. Ila ikipatikana namna basi kampuni inajitahidi kuziba mwanya. Ndio maana ya updates unazofanya Kwenye simu. Hizo updates ni plugs za kuziba mwanya uliogundulika.
Na ndio maana FBI wakifanikiwa kufungua hio simu apple watataka kujua FBI wame weza vp kufungua then apple wataziba huo mwanya.
Ikitokea tena issue kama hii FBI hawatoweza kufungua tena simu. The only option kwa FBI ni apple kuwatengenezea hio govt OS.