kiraremapojoni
JF-Expert Member
- Nov 30, 2018
- 391
- 512
Chanda chema huvishwa peteVyote kapewa Uzuri na akili.
Chanda chema huvishwa peteVyote kapewa Uzuri na akili.
Mkuu hata mimi ilikuwa ndoto yangu japo resistance ni long distanceHivi kaka mmawia hauna namba ya CM ya shangazi? Huwa ananimaliza sana, nataka nijaribu bahati yangu kama atanikubalia.
Huwezi kukosa bila kuomba na huwezi kupata bila kuombaMkuu hata mimi ilikuwa ndito yangu japo resistance ni long distance View attachment 1026410
Mkuu japo mungu akinijalia wa hivyo nitamuheshimu na kupambana na kila hali God bless meHuwezi kukosa bila kuomba na huwezi kupata bila kuomba
In God we Trust
Inaelekea bado wanawaza njia sahihiTumefikia wapi kwenye kuchanga kuhahakisha ndg zetu hawalali nje kwenye baridi?View attachment 1026355
Mkuu hata mimi ilikuwa ndoto yangu japo resistance ni long distance View attachment 1026410
Duuuu, si ungoje ninyimwe na huyu mrembo na ww ndio utake boss? Hii picha uliyoweka hapa ndio imenitia wazimu kabisa. Popote Fatuma alipo asikie kilio changu, mimi ni mtanzania mnyonge anifikirie.
Usipendele kusema unyonge mkuu pia onyesha kuwa na moyo wa kipee kwake kwa vitendo na sio maneno na linipenda vile hakujibizana na wazee wake hasa yule alinikela hila shangazi akawa akastahiki tu ndio navyozidi kupata hamasa juu yake au wa aina yakeDuuuu, si ungoje ninyimwe na huyu mrembo na ww ndio utake boss? Hii picha uliyoweka hapa ndio imenitia wazimu kabisa. Popote Fatuma alipo asikie kilio changu, mimi ni mtanzania mnyonge anifikirie.
Watu naona mmedata
In God we Trust
Usipendele kusema unyonge mkuu pia onyesha kuwa na moyo wa kipee kwake kwa vitendo na sio maneno na linipenda vile hakujibizana na wazee wake hasa yule alinikela hila shangazi akawa akastahiki tu ndio navyozidi kupata hamasa juu yake au wa aina yake
Utaanzia wapi mimi kila siku naenda ofisini kwake na barua za kuomba urafiki wakubadirishana mawazo mbalimbali je wewe?Mkuu kwa uandishi huu, shangazi namchukua asubuhi saa 2 bila mpinzani.
Utaanzia wapi mimi kila siku naenda ofisini kwake na barua za kuomba urafiki wakubadirishana mawazo mbalimbali je wewe?
Mkuu we lemba maneno mimi nitafanya vitendo zaidi ni kipata vibeDuuu, kwa uandishi huu hutakaa umpate.