Ado Shaibu
Member
- Jul 3, 2010
- 99
- 111
"Nime-dare kuchukua kesi ya Ado kumpeleka Rais Mahakamani ili nihakikishe anafuata katiba yetu. Feleshi (Jaji Kiongozi) ananishughulikia ili kesi zote za kikatiba ninazozisimamia zikose mtu wa kuzisimamia.
May be Mungu anataka niingie kwenye kitu kingine. May be kuwa Wakili is no more a place I'm supposed to be. May be I'm supposed to be in politics. Waswahili wana msemo, ukimpiga chura teke umemuongezea mwendo. So I'm very relaxed.
Ni muda wa kutafakari. Alot of people wamenishawishi Fatma ingia kwenye politics. Nilikuwa sitaki kwa sababu niliamini naweza kuleta mabadiliko Tanzania kwa kutumia sheria. Mahakama inaniambia usijaribu, ukijaribu TUTAKUONDOA. Hiyo ndio message niliyotumiwa". Wakili Fatma Karume
Msikilize zaidi hapa chini:
May be Mungu anataka niingie kwenye kitu kingine. May be kuwa Wakili is no more a place I'm supposed to be. May be I'm supposed to be in politics. Waswahili wana msemo, ukimpiga chura teke umemuongezea mwendo. So I'm very relaxed.
Ni muda wa kutafakari. Alot of people wamenishawishi Fatma ingia kwenye politics. Nilikuwa sitaki kwa sababu niliamini naweza kuleta mabadiliko Tanzania kwa kutumia sheria. Mahakama inaniambia usijaribu, ukijaribu TUTAKUONDOA. Hiyo ndio message niliyotumiwa". Wakili Fatma Karume
Msikilize zaidi hapa chini: