Fatma Karume, kubali umeteleza

-Kwanza hoja ya wanaounga mkono hili suala la kuanza kukimbizana na mashoga ni "dini" hamna reference nyingine kubwa.

Sasa swali je mbona dini imekataza kuzini? mbona dini imekataza mauaji? mbona dini imekataza wizi mbona dini inashawishi kusaidiana lakini huwa hamtumii hii nguvu kuyapinga haya?

Nadhani kama nchi tunakosa muelekeo. Hatuna dira ndiyo maana miaka rudi akija huyu rais analeta vyake...haanzii alipoishia mwenzake.

-Kwenye nchi iliyojaa maskini wa kutupwa na isiyo na huduma za kueleweka ushoga ni jambo ndogo lisingepaswa kuwa mjadala wa kitaifa. Ushoga hauathiri usafiri wa masaa mawili kutoka mbezi kwenda Ukonga,....
 
Um Umepotea wewe ambaye, hadi leo hujajua kuna watu wanazaliwa tofauti, wengine, na vinasaba vya kike au kiume, wengine wana jinsia mbili, wengine wana hormonal imbalance, basi tufanye kama babu zetu ukizaliwa tofauti unakutana na watu wasiojulikana na unapotea, pumbav.weye
 
wakati ule picha za uchi za mteule wa rais wa mkuu wa wilaya zinapigwa stop kusambazwa huyuhuyu fatuma Karume alijitokeza kuunga mkono watu kusambaza picha hizo ila hakusema yule ni mtu mzima anatumia haki yake ila lilipotolewa tamko la kupambana na mapenzi ya jinsia moja amekurupuka haraka haraka na kutetea watu wanaofanya vitendo hivyo swali la kujiuliza ni kweli anatetea haki za binadamu au anatafuta umaarufu wake binafsi na watu wanaomtumia
 
Hapo hawezi kufuta hiyo kauli maana atakosa ruzuku toka Magharibi huko na hakuna mwanasiasa wa mlengo ule atakaekuja kukemea maana pesa wanapatia huko Magharibi na wanajua wakipina hiko kitu hadharani wanapoteza mapato.
 
Wewe umepotoka kama wengi wengine walivyopotoka.

Sielewi iwapo tatizo ni Ki-kristo (Kidhungu) anachokitumia hakieweki au tena wengi wetu ni wagumu wakuelewa.

Anachokisema 'Shangazi';
Ni lazima Haki,Uhuru na Maamuzi ya Kila Mtanzania kuheshimiwa na kulindwa na Sheria.

Hajasema watu waruhusiwe au Ni Halali kutuma picha 'zisizo na maadili kwenye Mtandao.

Pia, Anadhani (yeye Shangazi) kuwa adhabu ya miaka 30 ambayo inamkabili yule Dada wa Video chafu hailingani na Uzito wa kosa lake.
-Hayo ni maoni yake ambayo hakatazwi kuwa nayo na kuyasema hadharani kama tusivyokatazwa sisi kujadili.

Tuwe na utamaduni wa kusoma na kufuatilia kwa nia ya kuelewa sio kukariri hasa mabandiko ya watu makini kama auntie @fatma_karume aka Shangazi.
 

That Includes.....
 
Lugha kwangu sio tatizo,
Unaposema haki za binadamu, adhabu na kosa hailingani ana maana gani? Soma kwa makini mkuu.
Wewe uliyemwelewa unadhani sheria iliyopo ya mitandao na masuala ya Kanuni ya adhabu ya homos ipo kufurahisha mtu?
Masuala haya ya kishetani lazima yapate utetezi kwa watu kama ninyi. Rejoice!
 
Kusoma sheria za kidunia ni sawa na bure,Hata wanyama hawafanyiani hivi huyu mama yaonekana hata madrasa hakupita.Ingawa Unguja kuna wanazuoni wengi.Aina ya watu kama huyu mama ni bure kabisa I wish I could be President ningefuta kabisa vyeti vyake vya sheria.
 
MHESHIMIWA, USIJITIE MJUVI WA WANYAMA MAANA HAUNA LOLOTE UNALOLIJUA.

HATA UKIPEWA USHAHIDI WA WANYAMA MASHOGA BADO UTAENDELEA KURUKA RUKA NA NGONJERA ZA SODOMA NA GOMORA.
 
Mm pia nimewaza hivi
 
Tatizo binadamu wa sasa tumekuwa wanafki sana,
Tunaishi na kutenda km MAFARISAYO
tunajua kunyooshea watu vidole na kujiona sisi bora,
Hebu jiulize
Mzinzi wa kawaida na huyo shoga mbele ya Mungu wanaonekanaje,
Unamlaani shoga,wakati wewe mwizi,ama mzinzi,ama muuaji,ama mchawi,mshirikina nk unadhani pepo utaiona kwa kukosoa wengine,
Siku ya kiama tutaona mengi asee
Tumekuwa wanafki kupiliza,
Huyo huyo aliyeagiza wakamatwe mashoga yy ana madha mbi kibao,lkn anawanyooshea kidole wadhambi wengine,
Kubwa tunapaswa si kubagua dhambi,kuwa hii ni bora hii ni mbaya,
Tukimbie dhambi siyo kubagua dhambi,
Tutubu na kuwaombea tunaoona wanakosea,
 
Hakuna dhambi na ww unayoifanya,
Acha unafki,
Dhambi ni dhambi
 
Kiki?
Itakuwa haujui maana ya kiki,
Mtu aliyekulia ikulu kiki ipi sasa atafute,
Ile kuwa tu mtoto wa ikulu ni kiki tosha,
Umaarufu na uelewa na ujasiri alio nao ni kiki tosha
 
Oza mtoto wako wa kiume kwa dume.
Una hakika mzazi wako ama ndugu yako yyte hajawahi pitia huko,
Hajahalalisha hayo,
Anachosema nao ni binadamu na maadamu ni binadamu waheshimiwe,
Maana mbaya wa Leo ndo mwema wa kesho,
Mwema wa leo ndo mbaya kesho,
Iga mfano wa Yesu hakuwabagua wazinzi walevi watoza ushuru na wadhambi,
Tunachopaswa kufanya siyo kuwabagua ni kuwaelimisha
 
Hili swala la Ushoga ni ngumu sana kulishinda kwa vita ya Damu na nyama /kibinadamu. Hapa inatakiwa Tumuombe Mungu sana awez kutuepusha na janga hli. 2tashinda Ushoga kwa kusal na kufunga. Kilio cha wengi Mungu atajibu kwa wakati 2
Naaam mkuu
TUMUOMBE MUNGU TUTASHINDA,
siyo kuwabagua,
Ukiwabagua wanajifunzaje sasa,
Wanajirekebishaje sasa,
Tukemee kitendo kiovu lkn muovu tumsaidie atoke huko,
Afu skia bana tusiwe Mafarisayo
Ss sote wakosaji,tena wengine wabaya kuliko mashoga,
Leo hii hata wauaji,wachawi,waiba wake na waume za watu nao wanawanyoishea vidole akina Amber
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…