Fatma Karume katika ubora wake

Mh Fatma Mungu akubariki Sana Kwa kuwatumikia watanzania wanyonge
Kamtumikia mnyonge gani,mwambie arudishe vya wanyonge alivyopora huko Zanzibar,pia tuambie kipi alichotutumikia ,tafadhali usilete porojo tuambie ABC hicho unachosema,au ndio kazi kuitikia tu vibwagizo sababu huyu mwananamke kuichukia serikali?Bibi yake,baba zake,na yeye mwenyewe ndio walitakiwa watushukuru sisi,kwani wao ndio wanaokula keki,kikiumana hapa yeye na uzao wake ndio wa kwanza kupanda ndege,huyu sio mwenzetu kama anavyotaka kujinasibu,chuki zote hizo ni baada ya mjomba wake kutolewa mkuku CCM.Kama kweli yeye anawajali wanyonge mwambie awarudishie mashamba aliowapora huko kwao kwa kutumia mgongo wa baba yake,huyu ndie alikuwa mshauri mkuu asiye rasmi wa baba yake,hana lolote huyo mwanamke.Pia mnapoandika vitu msikurupuke tu,hivi wewe unamjua huyu mdada au ndio umemsikia tu hivi karibuni,tunamjua kutoka akiwa kwa mzee Mkono si leo kama wewe unayeimba kama kasuku
 
Kwani hajakaa Tanzania muda mrefu huyu shangazi!!!???
Amesajiliwa kuwa wakili binafsi mwaka 1993 or around that period. Yupo vizuri, ila kweli elimu yake ni UK kwa sana. Nasikia pia ni member of UK bar association. Namkubali. Walisema ukimuua mwanaharakati mmoja wazaliwa elfu
 
Amesajiliwa kuwa wakili binafsi mwaka 1993 or around that period. Yupo vizuri, ila kweli elimu yake ni UK kwa sana. Nasikia pia ni member of UK bar association. Namkubali. Walisema ukimuua mwanaharakati mmoja wazaliwa elfu

Nashukuru kwa taarifa...
 
Mwambieni mfalme jiwe tunataka maelezo ya 1.5??halafu aache kunyonya wafanyakazi,alituambia tupo kwenye ''layiti tiraki'' vipi tena kutoongeza mshahara pamoja na kuwafukuza vyeti feki,hewa ,,hela ziko wapi
 
Sasa huyu dada mbona hata kiswahili chenyewe inaonekana kinampiga chenga ?
 

Tanzania bila zanzibar sio tanzania anatumia passport ya wap mkuu akiwa nje anasema au kutambulika wa wapi huyo naona kaubaguzi kamekunza mbona tupo na samia tulikua na shein bilali ila karume inakuuma tulia we acha ubaguzi bwege we jipange
 

Mkuu katiba yenu tena mnaipenda kwel na inawavuruga kwel unapiga kelele ya fatuma lkn ndo nyie mlosema kuna hela ya zanzibar mmemkusanyia kwenye ile 1.5 tena kwa wafanyakaz wa tz mnapiga kelele na fatuma wakati samia yupo tz tena anatumia ndege yetu mmekaa kimya mnaangaika na rais wa chama ambacho kinatumia hela ya wanachama kwel mmelogwa kwel
 
Tanzania bila zanzibar sio tanzania anatumia passport ya wap mkuu akiwa nje anasema au kutambulika wa wapi huyo naona kaubaguzi kamekunza mbona tupo na samia tulikua na shein bilali ila karume inakuuma tulia we acha ubaguzi bwege we jipange
Political mentor wenu aliwambia bila matusi na maneno ya kukera hamuwezi kuwa wanasiasa wazuri
So mnajitahidi sana kutimiza maagizo yake.
 
Yaani anachoongea upuuzi mtupu, halafu eti hajui kiswahili, ujinga wa ufipa

Unagombana kwa upuuzi we ndo utakua mpuuzi cha maana ndo mana unashindwa kuongea kwa hoja we ndo waonekana mpuuzi zaid kujibu kwa yeye mnzazibar
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…