Kwani Zanzibar hakuna Rais..? Mbona mnajiita wazanzibar zaidi badala ya Watanzania? Mbona mnang'anga'ania kutambulika kwa Uzanzibar zaidi badala ya Utanzania.?
Huo Utanzania mnauona wa maana mkiwa tu maslahi yenu..?
Hamuoni haya wala vibaya dhulumati wakubwa nyie.!!
Mnaoona chenu chenu ila chetu kiwe vyetu..!
Hata kama hiyo sijui mnayoita sheria na taratibu zinaruhusu lakini Mjue kuna watu kutoka bara hawa jisikii huru huyo Fatma wenu kuwa rais wa TLS.!
Kama vile ambavyo Wanzanzibar wasingejisikia poa kama Mtanzania kutoka bara angekuwa anaongoza ZLS.!
Ni vema tungeondoa hizi serikali mbili na kuwa na Nchi Moja Na serikali moja tu inayoitwa Serikali ya Jamhuri ya Tanzania.!