Fatma Karume katika ubora wake

Fatma Karume katika ubora wake

Fatma you are so good ila ujiandilishe katika kozi ya kuongea kiswahili. Na akili yako mwezi moja tu utakutosha!
 
Maoni ya kijinga sana haya!

Unasema Fatma sio mtanzania! Kwa maana hiyo ni mzanzibari. Sasa mbona unasema JPM ni rais wa Tanzania badala ya kusema Tanganyika??!

Ukikosa cha kuongea kaa kimya tu!
Kwani Zanzibar hakuna Rais..? Mbona mnajiita wazanzibar zaidi badala ya Watanzania? Mbona mnang'anga'ania kutambulika kwa Uzanzibar zaidi badala ya Utanzania.?
Huo Utanzania mnauona wa maana mkiwa tu maslahi yenu..?
Hamuoni haya wala vibaya dhulumati wakubwa nyie.!!

Mnaoona chenu chenu ila chetu kiwe vyetu..!

Hata kama hiyo sijui mnayoita sheria na taratibu zinaruhusu lakini Mjue kuna watu kutoka bara hawa jisikii huru huyo Fatma wenu kuwa rais wa TLS.!

Kama vile ambavyo Wanzanzibar wasingejisikia poa kama Mtanzania kutoka bara angekuwa anaongoza ZLS.!

Ni vema tungeondoa hizi serikali mbili na kuwa na Nchi Moja Na serikali moja tu inayoitwa Serikali ya Jamhuri ya Tanzania.!
 
Watu wa bara tuna tatizo la msingi...nalo ni ujamaa ambao upo chini ya dikteta
Kweli Mkuu,hilo ndio tatizo hasa la CCM,sera za hichi chama na mtazamo wao kwa raia ni kwamba tajiri ni bepari,ubepari ni uhalifu kwahiyo utajiri ni uhalifu,..

wanafanya kila njia ili mtanzania wa kawaida asipande juu kimaisha wakati wao wanatembelea magari makubwa makubwa,wanaishi na kutanua maisha kama vile hawafi,ukiangalia mfumo wa kama huo uko katika nchi zote zenye sera za ujamaa,..!!Kiongozi ni mfalme,ni Mungu,ni kila kitu!!

Viongozi wanatanua raia wanakufa njaa,..Msemo wao mkubwa "Bora tufe lakini hili halifanyiki..."
 
Mjukuu wa karume hajui kiswahili?
Umarekani mwingine wa kijinga kabisa,
Anawafurahisha ufipa na genge lao.
 
Narudia tena achunge steps, asiwe mlopokaji kama yule mbeligiji
acha ubashitelism..
mtu mzima Mwenye mke na Watoto kujutoa akili haifai aiseee""""katiba ya nchi haina kipengele kinachomkataza mtu kuwa mropkaji"""
 
Back
Top Bottom