Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,643
Za kichwaniAkili za wapi sijui hizi??/
Za kichwaniAkili za wapi sijui hizi??/
Wewe amewahi kukutumikia nini?Mh Fatma Mungu akubariki Sana Kwa kuwatumikia watanzania wanyonge
Sura kama da mangeHuyu mama ni moto kama Lissu
Makengeza ndo alitaka kumuua ili asiwe MwenyekitiWewe wasema
aka Kim Jong FreemanMakengeza ndo alitaka kumuua ili asiwe Mwenyekiti
Kama kaqaida, kwenye mambo ya maana ni Tv za mitandaini tu ndiyo zinakwenda.

Who are you?Narudia tena achunge steps, asiwe mlopokaji kama yule mbeligiji
I'm meWho are you?
Maoni ya kijinga sana haya!Kwanza Bara sio sehemu sahihi yeye kufanya huo uana harakati wake.!
Aliwahi nukuliwa akisema Muungano hauko sawa so anaposema "Nchi yetu"! sijui ana maanisha ipi Coz ipo nyingine.9 Eti ina Katiba yake, wimbo, Rais, wanadai hata na mipaka yake..
Kisha waliambiwa sio Nchi wakataka kuandamana.
Na yeye anatoka huko.!
So Nchi anayoisemea kuwa Nchi yetu sijui kwa dhati ni ipi.
Kwa Upande wa Tanzani JPM.
Ndio rais wetu, ubora wake tunaujua sisi Watanzania Wengi tulio Mchagua.
Na anayoyafanya tunapendezwa nayo sisi watanzania Wengi Tulio Mchagua.!
Hahhaahaha mkuu mbona umewaza kuhusu di eni ei,? Haki amerithi vyemaHapa hakuna cha kupima DNA wala nini! Huyu kweli ni mjukuu wa Sheikh Abeid Karume. Mwanamapinduzi mpinga uonevu, unyanyasaji, na utawala wa mabavu! Kila la heri Fatma...taifa linakuhitaji mnoo wakati huu!
Huyu mama ni moto kama Lissu
😀😀😀 mmmmh,, hebu nikatafute bamia,nitafute sembe nisonge ugari nile....Kwanza Bara sio sehemu sahihi yeye kufanya huo uana harakati wake.!
Aliwahi nukuliwa akisema Muungano hauko sawa so anaposema "Nchi yetu"! sijui ana maanisha ipi Coz ipo nyingine.9 Eti ina Katiba yake, wimbo, Rais, wanadai hata na mipaka yake..
Kisha waliambiwa sio Nchi wakataka kuandamana.
Na yeye anatoka huko.!
So Nchi anayoisemea kuwa Nchi yetu sijui kwa dhati ni ipi.
Kwa Upande wa Tanzani JPM.
Ndio rais wetu, ubora wake tunaujua sisi Watanzania Wengi tulio Mchagua.
Na anayoyafanya tunapendezwa nayo sisi watanzania Wengi Tulio Mchagua.!
Wewe mama wewe...kwani wapi kazungumzia jpm au muungano..!!Kwanza Bara sio sehemu sahihi yeye kufanya huo uana harakati wake.!
Aliwahi nukuliwa akisema Muungano hauko sawa so anaposema "Nchi yetu"! sijui ana maanisha ipi Coz ipo nyingine.9 Eti ina Katiba yake, wimbo, Rais, wanadai hata na mipaka yake..
Kisha waliambiwa sio Nchi wakataka kuandamana.
Na yeye anatoka huko.!
So Nchi anayoisemea kuwa Nchi yetu sijui kwa dhati ni ipi.
Kwa Upande wa Tanzani JPM.
Ndio rais wetu, ubora wake tunaujua sisi Watanzania Wengi tulio Mchagua.
Na anayoyafanya tunapendezwa nayo sisi watanzania Wengi Tulio Mchagua.!
Yes, Asimame kama mwanaharakati na sio mwanasiasa.Achunge steps!!