avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,758
- 15,737
Huyu mama sijui huwa anaongea nini? nazisoma hisia kali kwenye uso wake na alama za mikono yake lakini hana muunganiko mzuri wa maneno yamkini labda kiswahili hajui kama hajui basi angee lugha anayoifahamu kwa ufasaha ili watu tumwelewe!!? unaweza kukuta na kiingereza yupo hivyo hivyo ninatamani sana nione hotuba yake ya kiingereza na TLS mwaka huu hawakuonyesha video za hotuba za kuomba kura kama mwaka jana. Unaweza kukuta ana tatizo la vijana wengi waliosoma nje ambapo kiingereza hajui vizuri, kiswahili amepoteza basi anabaki kuwa kama mtu mwenye kigugumizi cha lugha.