Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,242
- 90,300
Hili suala la utekaji linazidi kuchukua sura mpya, Fatma Karume ameibuka na kusema Gwajima sio mtu wa kuaminika katika kutetea haki kwa sababu kuna wakati alitaka kuwanyang'anya Waislamu haki yao kuabudu aliposema atabadilisha misikiti kuwa makanisa!
Sikuwahi kujua Fatma Karume ni mshika dini hivi maana mara nyingi nilikuwa namuona akipigania kwa nguvu sana haki za wapenzi wa jinsia moja! Hivi karibuni alitangaza kupumzika katika mitandai ya kijamii kwa ajili ya ibada sijui ni Hija au Umra huko Mecca!
Sikuwahi kujua Fatma Karume ni mshika dini hivi maana mara nyingi nilikuwa namuona akipigania kwa nguvu sana haki za wapenzi wa jinsia moja! Hivi karibuni alitangaza kupumzika katika mitandai ya kijamii kwa ajili ya ibada sijui ni Hija au Umra huko Mecca!