Fatma Ayoub Mwinyimvua ateuliwa kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Fatma Ayoub Mwinyimvua Simba kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU) kuanzia leo Julai 05, 2021

Awali, Fatma alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Sheria, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMS), Dar

E5iRuARWUAUa_KS.jpg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Fatma Ayoub Mwinyimvua Simba kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU) kuanzia leo Julai 05, 2021

Awali, Fatma alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Sheria, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMS), Dar

View attachment 1842402
Ila hilo jina Mwinyi mvua bana. Ndo maana napenda majina ya kigalatia yanatamkika vema kinywani mfano Anastasia Shmidt, Maureen littlefoot, Agnes Wolfgang, AnaJohn Maguire, Patricia Cook
 
Fedha haramu zikoje wataalamu mtuambie!
Hivi wakati wa ziara za Hayati JPM zile maburungutu ya fedha zilizokuwa zinatolewa hadharani zilikuwa halali au Haramu?!

Mbona siku hizi hatuzioni zikitolewa?
Je yule aliyekuwa anabeba mkoba ule alilipwq ngapi na yuko wapi? Mwenye fununu atujuze. Kazi yaendelea!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Fedha haramu zikoje wataalamu mtuambie!
Hivi wakati wa ziara za Hayati JPM zile maburungutu ya fedha zilizokuwa zinatolewq hadharani zilikuwa halali au Haramu?!
Mbona siku hizi hatuzioni zikitolewa?
Je yule aliyekuwa anabeba mkoba ule alilipwq ngapi na yuko wapi? Mwenye fununu atujuze. Kazi yaendelea!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Yule bwana mbeba mikoba aka modern yuda Iskariote kwa sasa anamiliki mabenz
 
Hawana uwezo wa kudhibiti fedha haramu,wao wanakimbilia kufunga acc za kina Mbowe kwa kivuli cha kupambana na pesa haramu
Sheria haiko realistic yaani nadhani kama unafanya transaction ya zaidi ya milioni unatakiwa uripoti FIU, na usiporipoti ni makosa Sasa kwa staili hiyo si watafunga watu wengi sana.
 
Sheria haiko realistic yaani nadhani kama unafanya transaction ya zaidi ya milioni unatakiwa uripoti FIU, na usiporipoti ni makosa Sasa kwa staili hiyo si watafunga watu wengi sana.
Kiufupi sheria imekaa kama mtego wa panya
 
Back
Top Bottom