Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Kwanza nawapongeza wababa wote kwa mchango wao mkubwa katika kuleta watoto duniani, kuwapenda wake zao au kuwajali mama wa watoto wao na watoto na pia kubeba majukumu yao.HONGERENI SANA KWA SIKU YA LEO.
Hata hivyo nina maswali machache kwa wale wababa wote waliowahi au wenye mpango wa kuwakataa watoto wao:
1.Je wangekataliwa na baba zao wangejisikiaje?
2. Nini kinamfanya Mwanamme amkatae mtoto wake wakati anajua kabisa aliwahi "kupanda "mbegu '? Dhamira haiwasuti?
3.Mwanamke anapokataliwa mwanaye na baba mhusika anajisikiaje?
4. Mtoto aliyekataliwa na babaye anapokuja kutambua anajisikiaje?
Michango yenu tafadhali
Hata hivyo nina maswali machache kwa wale wababa wote waliowahi au wenye mpango wa kuwakataa watoto wao:
1.Je wangekataliwa na baba zao wangejisikiaje?
2. Nini kinamfanya Mwanamme amkatae mtoto wake wakati anajua kabisa aliwahi "kupanda "mbegu '? Dhamira haiwasuti?
3.Mwanamke anapokataliwa mwanaye na baba mhusika anajisikiaje?
4. Mtoto aliyekataliwa na babaye anapokuja kutambua anajisikiaje?
Michango yenu tafadhali