Fatah wasema Israel haitaweza kuimaliza Hamas. Ni sehemu ya harakati zao kuikomboa Palestina

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,186
10,924
Waziri mkuu wa Palestina katika serikali ya Mahmoud Abbas ameweka wazi kuwa Israel inajidanganya kusema inataka kuwamaliza Hamas. Hiyo haitatokea.

Akizungumza na CNN, Mohammad Shtayyeh amesema Hamas ni sehemu ya harakati za wapalestina kwa hivyo haiwezekani na haikubaliki kuwamaliza.

Kauli hiyo aliitoa baada ya kutoka katika mazungumza na wenzake wa Jordan na Qattar.Akaongeza kwa kusema kinachotakiwa ni kusitishwa kwa vita vinavyoendelea.

Mohammad Shtayyeh akakumbusha kuwa vita vya Palestina na Israel wala havijaanza oktoba 7 bali vimeanza tangu miaka 75 iliyopita.

Palestinian PM on Israel's vow to eradicate Hamas: "It's not going to happen"

1702209641906.png
 
Kuleni kichapo mtapata akili.

Dini ya magaidi
Kipindi cha kichapo kimeshapita.Sasa ni mteremko kuelekea ushindi.
Angalia waarabu wanatia akili kidogo kidogo na mmoja mmoja.
Uliwahi kusikia Fatah kutangaza hadharani kuwakubali Hamas
Tufani la Alaqsa linapata nguvu kila siku.
 
Naona kwambaaaaaali wapalestine wanasogezwa kua wamoja
Safi sana hamas kwamara yamwanzo leo naona fatah wamesimama nanyi hata kwakauli tuuu
 
Kipindi cha kichapo kimeshapita.Sasa ni mteremko kuelekea ushindi.
Angalia waarabu wanatia akili kidogo kidogo na mmoja mmoja.
Uliwahi kusikia Fatah kutangaza hadharani kuwakubali Hamas
Tufani la Alaqsa linapata nguvu kila siku.
Kuna wakati unajichanganya sana kwa kuwaamini wanafiki ambao wakiwa sebuleni wanaongea kinafki na wakirudi chumbani wana mengine.
 
Kipindi cha kichapo kimeshapita.Sasa ni mteremko kuelekea ushindi.
Angalia waarabu wanatia akili kidogo kidogo na mmoja mmoja.
Uliwahi kusikia Fatah kutangaza hadharani kuwakubali Hamas
Tufani la Alaqsa linapata nguvu kila siku.
Mmekuwa watu wa kujifariji. Poleni
 
Hamas goal is to destroy Israel na kutawala Kwa Sharia law, kuifuta Israel ndio end goal, hawataki kusikia kitu kinaitwa 2 state solution or Israel existence, Hamas walishinda uchaguzi Gaza Kwa sababu ya hii ideology , ni nguvu kuwatetea Hamas Kwa hili la kuwafuta wengine, acha wapigwe tuu Kuna siku watapata akili
 
Mnaotetea Palestina, mlitegemea nini Hamas alipoingia Israel na kuua watu zaidi ya 1000 in one night? huku Gaza ikiripuka Kwa sherehe kubwa kushangilia Hamas walichofanya Israel na kuimba death to Israel
Miezi miwili baada ya tukio hilo na baada ya kuuliwa ndugu na jamaa na kupoteza kila kitu hakuna anayejuta kwa tukio la oktoba 7.
Huu ni ushujaa usijaotokea kwa eneo lolote duniani.Ukijiuliza utapata jawabu ni kuwa sababu za Hamas si za kutunga wala kubahatisha,Wakifa wameondoka kwa heshima na tamaa ya pepo na kubaki chini ya kutawaliwa na mayahudi hakuna furaha yoyote duniani,ni maisha ya mateso na fedheha
 
Hamas goal is to destroy Israel na kutawala Kwa Sharia law, kuifuta Israel ndio end goal, hawataki kusikia kitu kinaitwa 2 state solution or Israel existence, Hamas walishinda uchaguzi Gaza Kwa sababu ya hii ideology , ni nguvu kuwatetea Hamas Kwa hili la kuwafuta wengine, acha wapigwe tuu Kuna siku watapata akili
Kila mpenda haki amani upendo lazima atasimama na hamas
Walilolifanya hamas huko israhell tarehe tajwa hapo juu latakiwa kupongezwa nakila mtu
Ulitegemea muonevu apewe nini zaidi ya alichopewa
Tena sisi tukiwa kama wapenda amani tunasikitika kwamba walimpa kidogo sana ilitakiwa wapige tukio kama lile zaidi ya mara 70+
Ila sio mbaya hata kikubwa kilianza na kidogo
Israhell warejelee walipokua kabla ya mwaka 1948 huko wataishi kwa amani na furaha na upendo na tutawaunga mkono na kuwaombea wakifikwa na madhilla yeyote yale
Ila kwakuvamia na kupora sehem za watu wacha waendelee kuteseka kila baada ya muda
 
Yaani muanzishe vita nyinyi halafu muombe vita iishe, thubutu. Subirini kwanza Israel imalize mission zake na kukamilisha malengo yake kwa 100% halafu vita itakwisha.

Kwa sasa dunia itulie kimya, Hamas na Pro Hamas watulie tuli, mpaka mission ikamilike. Hakuna njia ya mkato.
 
Back
Top Bottom