Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi, Kampuni ya Fastjet imewatangazia wafanyakazi wake kuwa haitakuwa na uwezo wa kulipa mishahara ya mwezi February mwaka huu.
Pamoja na hilo pia, haitakuwa na uwezo wa kulipa malimbikizo ya mwezi January kwa wafanyakazi ambao hawakulipwa mishahara iliyopita.
Kufuatia sintofahamu hiyo, huenda Fastjet ikatoa taarifa nyingine yenye uzito siku za hivi karibuni..