FASTJET: My first and last experience

Mkweli umesema kweli; sasa dawa yake ipo na ndogo mkuu;
Nia za wengi wetu !! " Nia na ile Dhana tuliyo nayo " tukitibu hiyo tu....tija nzuri itakuwepo!!
ila kumbuka ujinga ni mwingi bado!
 
Mzee Ndege ya fasjet kutoka JRO kwenda dar inaondoka saa 2135 abiria wote wanashauriwa kuwa uwanjani masaa 2 kabla ya safari hata hivyo Kaunta inafungwa Dk 4o kabla ya ndege kuondoka ikiwa na maana kaunta itafungwa saa 2255 hili halina utata kabisa hata kama utachelewa Dk 2 ni vigumu kuruhusiwa ku board sababu wale jamaa wako on time na muda unaopewa wewe kuripoti ni masaa 2 kabla.
Hata kama ndege ilipata hitilafu kama huku chek in huwezi safiri nayo mjomba unless upate mtu wa kujuana hapo Airport ndo atakusaidia sababu kampuni ya inayotumiwa kukupatia boarding pass ni swissport na wao hawa husiani na mambo ya kuruka au kutokuruka kwa ndege.. Na siku ni kweli FJ ilipata matatizo kwenye Engine yake moja hali iliyolazimu kusubiri matengenezo ya hali ya juu...
Mimi nina DOUBT hapa
-Inawezekana uli mis calculate muda wako wa ku check in that's why ulikataliwa ku board, kwangu mimi sikubaliani na wewe kuwa kaunta ilifungwa Dk 55 kabla ya ndege kuondoka.. hiyo haiwezekani hata kidogo..
 

Ww pesa unayo kama uliweza lala room ya elfu 50 si nimambo ulijitakia mwenyewe
 
Ww pesa unayo kama uliweza lala room ya elfu 50 si nimambo ulijitakia mwenyewe

Mkuu Zamlock, wewe kwa mapendekezo yako, ulitaka nilale kwenye room ya elfu ngapi? Kumbuka to me security is my first priority and I cannot afford to sleep in a Hotel where my security will be at risk.

Tiba
 
Yaani Binti mzuri huyu akalale Guest House we jamaa...
 
ulikuwepo? kuna watu mnapenda kubishana hata na taarifa ya habari
 
Mkuu Fighter, tafadhali tiririka, mbona unafanya kutuonjesha story halafu unaacha?

Tiba


Haka kastori katamu sana lakini naogopa kushambuliwa na kukosa vitamu tena next time.....

Lakini kwa ufupi tu, makamanda tukifika kwenye mkusanyiko macho yetu huwa kwenye flowers!!


Fast jet ya tarehe hiyo Wadosi walikua wengi... hawa nao wanapenda vyabure sana!!

Totos za maana mimi niliziona mbili pale!

Mmoja alikua akienda kumcheki bro wake aliyepata ajali Dar!!

Na mwengine e bana bonge la mdada na hii stori ndio all about............
 

Sorry mkuu, mie na bibi DC tulishaapa kutopandishiwa na mtoa huduma tunayolipia kwa pensheni yetu. Ikibidi hata bukta tunavaa!!

Labda kama tumepewa complementary.

Babu DC!!
 

Roho mbaya hiyo mkuu....point yangu hapo ni kuonyesha customer care zilivyokuwa mbovu. Kuweka mbwembwe za lugha ni walau upate msaada Dark City yeye hujipa hata vyeo asivyokuwa navyo ili mradi ahudumiwe


Tena kama nimevaa ile suti yangu ya kariakoo na kupiga lile pank la Makutupora ndiyo wananikoma!
 
Remember! FASTJET - SMART TRAVEL
if ur not smart you won't travel by fastjet............!
 
ulikuwepo? kuna watu mnapenda kubishana hata na taarifa ya habari

Acha maneno yasiyo ya kistaarabu bana mi nimejaribu kumwelewesha kutokana na ninachokifamu na nimeandika hayo sababu nafanya kazi kwenye industy hiyo so..
 
Bwana au Bibi Tiba yaliyokukuta ni kama yaliyonikuta mimi. Story ni ndefu ila kwa kifupi nilisafiri na FASTJET DAR/KIA kwa mara ya kwanza lakini yaliyonikuta niliapa sitarudia tena kusafiri na ndege hii.
 
kama wanaofanya kwenye industry hii na haya ndio maelezo yao basi watz bado tuna safari ndeeefu.Check-in cut off time wamesema 40min....ina maana natakiwa kuja muda wowote before cut off time, hata kama ni kasoro dakika moja.Tujifunze kufuata utaratibu...tatizo watu wa airlines wanauza nafasi kwa watu walio kwenye waiting list.......40 min zinamtosha abiria kutoka check in dest kwenda departure lounge. Kwa waendao nje muda unaongezeka kwa sababu ya taratibu za uhamiaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…