you gotta be right kwa kiwango flani hivi..........Tatizo linaloikumba sana nchi yetu hii ni
undugulization
ajira za kyupi
degree za kyupi
full stop
Wahuni wale hawachelewi kuwa buku kumi halafu waseme mkagawane mbele kwa mbelehahaha aisee inabidi uwe unauliza kwanza chenji ipo?? ndio utoe hela [emoji23]
Inasikitisha kusikia huduma hasi kwenye Kampuni iliyobeba nembo ya TZ. Hawa ATCL tunaoambiwa wako mbioni wayaangalie maoni ya WATEJA wasafiri wa mara kwa mara kwani watakapoingia wateja ndio hawa hawa.Wahuni wale hawachelewi kuwa buku kumi halafu waseme mkagawane mbele kwa mbele
Kabisa. Rahisi ni ghaliKatika maisha vitu vya bei rahisi vinaambatana na karaha wakuu,uvumilivu anatakiwa.