Fastjet: Basi linalopaa angani

Fastjet: Basi linalopaa angani

fastjet kiukweli mnatuboa sana hebu fikirieni mbona mnaleta uswahili wa ajabu ajabu hivi? mbona mlianza vizuri? kila mara utasikilia delay masaa 7, cancellation, refund? mmelewa sifa? Wafunzeni pia wafanyakazi wenu jinsi ya kuongea na wateja
 
cancellation za kutosha bila kujali hali ya abiria. Hatukatai haziepukiki kwenye biashara ya ndege lakini toen taarifa mapema basi sio msubiri mpaka watu wanataka check-in ndo mnawaambia kuwa hakuna ndege au kuna Delay masaa 9 (= Safari ya ndege DAR to HEATHROW/london) hebu badilikeni basi
 
Watanzania muwe na shukrani wakati mwingine. Sisemi kuchikichia na chenji za wananchi ni jambo jema lakini wakati mwingine mnawatega bure. Unanunua bites za buku mbili jero then unaangusha hapo msimbazi safari ya dk50. Na mko angani.hamna kibanda cha mangi huko juu eti tuseme ataenda kuomba chenji mara moja. I think it is a professional of telling you guys that they are really sorry n that they cant provide a change so tembea zako huko lakini siku nyingine uje na chenji kamili.
Lets be considerate kidogo basi heeeeeeee!!
Halafu ukute kapata tiketi ya elfu 40...
 
fastjet kiukweli mnatuboa sana hebu fikirieni mbona mnaleta uswahili wa ajabu ajabu hivi? mbona mlianza vizuri? kila mara utasikilia delay masaa 7, cancellation, refund? mmelewa sifa? Wafunzeni pia wafanyakazi wenu jinsi ya kuongea na wateja
Hapo kwenye cancellation kama zipo wajirekebishe lakini habari habari ya chenji abiria nanyi muwe waelewa... unatoaje buku kumi wakati unajuwa kwenye probability ya chenji upo uwezekano wa kutokuwa nayo... pandeni na moa mia
 
Kweli tupu. Crew wengi wa fast jet kiingereza mgogoro.hata yale maelezo ya jinsi ya kufunga mkanda na kujiokoa anasoma kwenye karatasi lakini Bado anachapia.ishu ya chenji ni Kweli pia.

Kingereza cha nini sasa wakati abiria ni wabongo? Kama wapo wageni wawili au watatu hao ni wachache sana hivyo watajipanga wenyewe! Heshimu lugha yako bhana!
 
Subiria nyingne inakuja soon united afrikana airline usijali mdau nw u can make choice coz it will very affordable price and very chipest..www.flyuaatz.com
 
bora waje angalau hao FASTJET watajiset maana hata kulipia tiket lazima uende ofisini kwao ukakutane na foleni za kama NMB
 
Abiria wasiofurahishwa na huduma za Fastjet (au shirika lolote la ndege linalofanya safari zake hapa nchini) inabidi pelekeni malalamiko kwa maandishi au kupiga simu au e-mail;
TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY CONSULTATIVE COUNCIL,
1st Floor Haidery Plaza Building,
P. O Box 12242, Dar es Salaam,
Tel:+255 22 2128290, Fax: +255 22 2128291
E-mail: ccc@kicheko.com
 
ujanja ujanja huu wa kukusanya hela miezi minne kabla ya safari ( kwa kisingizio cha OFA) halafu unakuja kuahirisha safari siku ya kusafiri sio mzuri TCAA CC chukueni hatua. Hao fastjet wajue kuwa Tanzania si banana republic
 
Bora kupanda basi kuliko fastjet. Abiria tumewekwa mwanza masaa 9 kusubiria ndege ya kwenda DAR. Daah
 
safar ya Dk 45- 50 unataka ulee si kujishow huko
 
Fastjet mmeuanza huu mwaka kwa vitimbi haswaa nimekata tiketi ya KIA-MWZ-KIA nyie mkaamua kunirushia tiketi ya DAR-KIA-DAR nawapigia simu mnagomba duu!! hatari hii kwenye biashara kama yenu kwa hiyo nibadilishe safari kisa nini?
 
ndege hii (fastjet) inanishangaza kwa cancellation na delay funga kazi ni ile inayoitwa CALL CENTRE full wahudumu wasiojua nini wanafanya pale yaani wakiona kero wanakata simu. badilikeni.
 
Fastjet mmeuanza huu mwaka kwa vitimbi haswaa nimekata tiketi ya KIA-MWZ-KIA nyie mkaamua kunirushia tiketi ya DAR-KIA-DAR nawapigia simu mnagomba duu!! hatari hii kwenye biashara kama yenu kwa hiyo nibadilishe safari kisa nini?
hiyo kali kuliko.
 
Na mm ilinikuta last week elfu6 imeenda hivi hivi na huyo muhudumu mdada mweupe
 
Back
Top Bottom