Fastjet: Basi linalopaa angani

Fastjet: Basi linalopaa angani

Shida ni tabia za kilocal wanazo wanahisi mtu akipanda ndege bhasi ana hel za kumwaga nami pia ni muhanga mkuu ila mara ya kwanza nilisahau kuwadai wakipiga mara ya pili sikupewa bahati nzuri nilimkariri wakati nashuka nikamuona kwa kweli nilimchana mubashara (live) binti nipatie chenji yangu kwa ukali eti kakajifanya sorry nilishashau nikamwambia ila mimi sisahaugi hela nyuma leta ndo nishuke
 
Hivi safari isiyozidi masaa mawili unanunua nunua vyakula au vinywaji vya nini?
 
Jukumu la kutafuta chenji ni la muuzaji, kabla ndege haijapaa, akikumbuka kupakia korosho zake, basi akumbuke kupakia na chenji za kurudishia wateja wake, kinyume na hapo huo ni wizi. Vinginevyo gharama za hizo bites ziingizwe kwenye nauli au kusiwepo na bites kabisa.
 
Natumaini wengi wetu tumepata bahati ya kupaa na Fastjet katika maeneo tofauti hawa jamaa kwa kweli wahudumu & huduma ndani ya ndege ni za kusikitisha yaani utafikiri umepanda basi la abiria.

Iweje huduma ambazo wanalipisha ukimpa hela kubwa (ya chenji) harudishi na huyo mhudumu hutamuona tena moaka unashuka kwenye ndege sijui hata wanaendaga kujifungia wapi.

Nimesafiri sana na hawa jamaa hasa KIA-DAR, DAR- MBEYA na DAR - MWANZA kila ukiwapa hela ya chenji hsabu maumivu, ukijidai kuuliza swali kwa kiingereza ndo umemkimbikiza mazima anazuga HOLD ON ndo anajidai bizeeee anakupita kama hakujui mpaka ndege inatua. ukienda ofisin kwao Daah Hatareee.

Ndugu zanguni Fastjet badilikeni
DAR -MWANZA UNAKULA?
UKIENDA UMBALI WA JAPO DUBAI UTAFANYA NINI?
 
Back
Top Bottom