Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Kaka mimi hata nukiniita leo nitakuonesha kwani nilipanda ndege yenu j3 kurudi dsm. niliwaripoti pale kia kwa kijana wenu mmoja wa mahusiano mwembamba hivi. sina hakika kama kalishughulikia, ila yule dada mnene hata kuolewa hafai hana vimaneno vimaneno vinavyokera sana. mimi nilimwambia nsitapanda tena fast jet kama mdomo huo unaolia chakula ndio unaowajibu wateja kunya. wewe nenda pale uliza wadada wawili waliokuwa wanahudumia ukiingia tu hapo kivarandani mkono wa kushoto,mmoja ni mweupe mwembamba kuliko mwenzake,wote hawa hakuna kitu,wana majibu ya ovyo sana sana. uliza waliotoa huduma eneo hilo tarehe 21 january 2013 hapo eneo law wazi