imani ernest
Senior Member
- Jan 16, 2013
- 138
- 92
Muonamambo pole sana kwa hilo lililokukuta, tunaomba utuambie ni marketing personnel gani alokupa hayo majibu? kama unaweza pata jina lake ingesaidia sana kurekebisha kosa hilo lisitokee kwa mtanzania mwingine. ila fastjet sio wezi hata kidogo ndo maana tumeamua kurekebisha madhaifu yetu yote to grow stronger.
You are the only one,the strong pillar at the thin sand,thank you for trying, hakuna kitu kibaya kama kauli mbaya kutoka kwa mhudumu ambaye kwa ridhaa yako mwenyewe umeamua kutumia huduma yake,jitahidini mtaweza tu,ila wa tz sielewi tatizo letu nini?juzi tulikuwa tunalalamikia precision juu ya ku hodhi ma staff wengi kutoka nje ya nchi,leo tunalalamikia wazawa huduma zao mbaya!!kuna jambo la kujifunza.